Kuna wakati unaweza kusema huyu ni mke au shetani.
Kuna ndugu yangu mke wake alikuwa anaweza kwenda hospitali, akaacha kuchukua dawa kwa bima, akaenda pharmacy na kuchukua dawa at inflated prices, baadae anakuja kudai refund kwa mume.
Anayetoa hela ndio anachagua wimbo. Pesa ya Mchina haijengewi na watu wengine. Wakati JK anaondoka madarakani, kulikuwa na makubaliano ya fedha za ujenzi na Wachina, Magufuli alivyoingia akataka kuleta ushindani kwenye kupata mkandarasi, alivyoshinda Mturuki, Wachina wakaondoa pesa
Siku hizi Web na Apps development imerahisishwa na cross platform frameworks. Jifunze basic programming na vitu kama API, halafu jifunze Flutter.... you can make any app for majority ya plaforms
Now you are comparing a communist Nyerere with the Capitalists of the West.... From next week angalia stock prices za Raytheon na wengine. It's about the Benjamins.
Fanya research kidogo kabla ya kujibu....
Plus hao Pentagon hawako kwenye biashara ya kuisaidia Ukraine, wako kwenye biashara ya kuuza silaha za kampuni zao.
Shida ni defending ni very expensive... jamaa anatuma kamikaze drone za 1000usd, wewe unazitungua kwa patriot missile ya usd mil 2.
Math is not mathing, muda si mrefu watarudi tena kuomba!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.