Search results

  1. MtamaMchungu

    Madai ya Janeth Shayo, Mkazi wa Uru, Moshi, kutosikilizwa

    Mheshimiwa tunakushukuru kwa kufanya engagement na watanzania, mkumbushe Nape Nauye awe anafanya engagement na Watanzania
  2. MtamaMchungu

    Sikujua, kumbe Bakhresa anakopa mikopo ya riba kwenye benki za biashara

    Mfanyabiasha wa kweli hatumii pesa zake
  3. MtamaMchungu

    Kwako Mkurugenzi mpya wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART): Katatue changamoto zifuatazo…

    Shida kubwa ni idadi ya mabasi. Mengine yanavumilika!
  4. MtamaMchungu

    Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania

    Tuongelee uwiano.... kiasi gani kinakusanywa vs kiasi gani kinatumika hapa Dar
  5. MtamaMchungu

    Viongozi wakuu wa Hamas wasiotaka kusitisha vita wote wanaishi nje ya Palestina, wanaoumia ni raia

    Vita unaanziasha ili ushinde.... wananchi kuuawa ni sehemu ya vita.... hawakimbii kwa sababu wanaogopa kufa, wanakimbia ili waendelee kuongoza vita.
  6. MtamaMchungu

    Viongozi wakuu wa Hamas wasiotaka kusitisha vita wote wanaishi nje ya Palestina, wanaoumia ni raia

    Ujinga ndio unaua watu kwenye mapambano, wakae Gaza ili wauawawe kizembe Hata wakati wa Apartheid Afrika Kusini wengine walipigana kutokea nje ya nchi
  7. MtamaMchungu

    Mchumba hasomeshwi, muhanga SutiBega

    Kazi ya kusomesha ni ya familia ya binti, kijana usijichanganye. Kama unataka kumsomesha, kwanza muoe.... hakikisha ameshazaa watoto kuanzia 3 ndio mpeleke huko shule. Wakimbeba, at least atatumia elimu kulea wanao 🤣 🤣 🤣
  8. MtamaMchungu

    Top ten wonderful names from Tanzania

    Ng'winula Unu Kingamkono
  9. MtamaMchungu

    Video: Angalia jinsi huyu askari alivyokosa utu

    Story nzima iko wapi? Wakati mwingine watu ni wabishi, kila siku unawaondoa; wanarudi kesho yake.
  10. MtamaMchungu

    Ushauri: Nimejaribu kujiua imeshindikana. Naomba ushauri wa kuondokana na kukata tamaa

    Umewahi kusikia kitu kinaitwa The Wisdom of Silenus "The best of all things is something entirely outside your grasp: not to be born, not to be, to be nothing. But the second best thing for you is to die soon."
  11. MtamaMchungu

    Njiapanda: Mzee anataka turudi kijijini wakati mama anataka tubaki mjini

    Kama watoto bado wanasoma na hawajaanza kujitegemea, sio busara kuwahamisha. Pia mama anawezekana ana sababu za msingi, vijijini kama hujawahi kuishi maisha yanaweza yakawa magumu. Mzee inawezekana ana support system nzuri, na pengine mama hana.
  12. MtamaMchungu

    Askari mstaafu Polisi Saba Sita baada ya kuchimba kaburi sasa anunua jeneza

    Sasa tunajua uchizi Tunda kautoa wapi 🤣 🤣 🤣 🤣
  13. MtamaMchungu

    Genge la wauza madawa ya kulevya lamuua kikatili "Snitch" kutoa onyo kwa wengine huko Kilimanjaro

    Nilipokuwa primary kuna jamaa akaenda kuwapa taarifa polisi kuhusu wauzaji.... polisi hao hao, wakapewa pesa, wakamtaja jamaa. Alipigwa vibaya sana... tena mchana kweupe na wanatamba kabisa kuwa iwe fundisho kwa wambeya wote
  14. MtamaMchungu

    Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania

    Dar es Salaam iwe special administrative area.... haya mapato kuwe na kiasi kinabaki kwa maendeleo ya wana Dar.
Back
Top Bottom