Kazi ya kusomesha ni ya familia ya binti, kijana usijichanganye.
Kama unataka kumsomesha, kwanza muoe.... hakikisha ameshazaa watoto kuanzia 3 ndio mpeleke huko shule.
Wakimbeba, at least atatumia elimu kulea wanao 🤣 🤣 🤣
Umewahi kusikia kitu kinaitwa The Wisdom of Silenus "The best of all things is something entirely outside your grasp: not to be born, not to be, to be nothing. But the second best thing for you is to die soon."
Kama watoto bado wanasoma na hawajaanza kujitegemea, sio busara kuwahamisha. Pia mama anawezekana ana sababu za msingi, vijijini kama hujawahi kuishi maisha yanaweza yakawa magumu. Mzee inawezekana ana support system nzuri, na pengine mama hana.
Nilipokuwa primary kuna jamaa akaenda kuwapa taarifa polisi kuhusu wauzaji.... polisi hao hao, wakapewa pesa, wakamtaja jamaa.
Alipigwa vibaya sana... tena mchana kweupe na wanatamba kabisa kuwa iwe fundisho kwa wambeya wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.