any way ni maoni ya watu ! ila watu wajitokeze kujiandikisha wawe na vitambulisho hayo mawazo ya wameanza sehemu zenye watu wa ccm au mashine zinazimwa makusudi si ya kweli tuwe waungwana tuu kwa hili
yap zina feni bt c muda wote feni itafanya kazi na kuregulate joto sawa sawa ndo maaana baada ya muda inajizima na ili uipumzishe kwa muda na huwa inawasha taa nyekundu
si kweli unayoongea mimi nime operate mashine mwezi mzima hayo unayoongea si kweli kompyuta yeyote hupata joto na ili ku regulate ndio maana inazima! so kwenye ukweli tuseme na kwenye uongo tuseme.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.