Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Bada ya kukaa kumya kwa mida ,nilikuwa nikifuatilia muendelezo wa uandikishaji wa wapiga kura,mfumo unaotarajiwa kutumiwa kwa mara ya kwanza hapa nchini ,upigaji kura wa kijiditali.
Sitaingia dipu ,ila nilichokigundua ni hiki ,machine zinazotumika hupata moto au tuseme joto kwa haraka na husababisha kuzimika au kuzimwa kwa kisingizio cha ,,,mashine zimepata joto, hapo ndio imetoka hiyo ,washamba kama sisi hatuelewi tunaona ni kweli ,tunasubiri mpaka ofisi zinafungwa,
Kubwa kuliko yote ni kuwa mashine hizi zinapelekwa na kuwekewa vituo kwenye zile sehemu ambazo ccm ina wafuasi wengi ,na wanapohakikisha wameshawaandikisha wote hapo utaambiwa uandikishwaji umefungwa na hawarudi tena ,sasa tafakari uone ndani ,ccm wanajiandalia ushindi kwa njia hiyo na kama huamini angalia sehemu zile ambazo uandikishaji umeshapita ,pita nenda maeneo hayo ulizia ,utagundua tayari upinzani umeshapigwa bao.
Sina zaidi kwenu UKAWA :mvutaji:
Sitaingia dipu ,ila nilichokigundua ni hiki ,machine zinazotumika hupata moto au tuseme joto kwa haraka na husababisha kuzimika au kuzimwa kwa kisingizio cha ,,,mashine zimepata joto, hapo ndio imetoka hiyo ,washamba kama sisi hatuelewi tunaona ni kweli ,tunasubiri mpaka ofisi zinafungwa,
Kubwa kuliko yote ni kuwa mashine hizi zinapelekwa na kuwekewa vituo kwenye zile sehemu ambazo ccm ina wafuasi wengi ,na wanapohakikisha wameshawaandikisha wote hapo utaambiwa uandikishwaji umefungwa na hawarudi tena ,sasa tafakari uone ndani ,ccm wanajiandalia ushindi kwa njia hiyo na kama huamini angalia sehemu zile ambazo uandikishaji umeshapita ,pita nenda maeneo hayo ulizia ,utagundua tayari upinzani umeshapigwa bao.
Sina zaidi kwenu UKAWA :mvutaji: