Elli je wewe huna contacts zozote za hao jamaa wa Bagamoyo?tar 30 mwezi wa 6 naondoka hapa na mimi ni mwalimu serikalini ila sitaki kurudi.hakunifai.ahadi nyingi,utekelezaji = 0
we hujui unachongea.natamani nikutukane mpaka ufe!hujui wanaume tunavyoumia hapa,eti MULTIPLE CHOICE,ulikuja ukaona?watu wanasoma kozi za ajabu,ngumu na zakukatisha tamaa ya maisha.hizo multiple ch unazosema sometimes unaweza hata usizione.kama wewe hujui sema uoneshwe mitihani ilivyo.nipo...
we hujui unachongea.natamani nikutukane mpaka ufe!hujui wanaume tunavyoumia hapa,eti MULTIPLE CHOICE,ulikuja ukaona?watu wanasoma kozi za ajabu,ngumu na zakukatisha tamaa ya maisha.hizo multiple ch unazosema sometimes unaweza hata usizione.kama wewe hujui sema uoneshwe mitihani ilivyo.nipo...
hiyo computer ni aina gani?
Kuna uwezekano unatakiwa ubadili settings za SATA katika Bios Setup.
Mimi ni fundi wa hayo madude.zingatia ushauri huu. Ukishindwa sema niendelee kukusaidia.karibu.ukitaja aina ya computer nitakusaidia vizuri.
Doctor Spora kisanga,Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma,tunakushutumu kwa kutosahihisha tests zetu za Research na kisha kutuwekea zero.saa hii tunalalamika unaanza kukusanya upya majina ya uliowawekea zero na kugawa marks wakati course work zimeshatoka.hatukuelewi!hivi unajua maadili ya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.