Watalipa gharama za kuhama hama ama mpaka kodi walizolipa huko ziishe!? Vp kama wameenda kukutana na masoko mazuri zaidi ya hapa!? Mkikurupuka mjuege na gharama za matarajio ya matakwa yenu
Basi ya police ime hama line!? Ama naona vibaya!? Poleni sana #mbwa_kala_mbwa ila jamaa wamelewa madaraka kupitiza ukijumlisha na matukio wanayo yafanya, mh! Tupo pabaya #tarime
Maana huyu ndugu nimemtafuta fb nikam'baini na web/blog yake nimeikuta ila inaonekana isha futwa sijui kakumbwa na nini huyu muheshimiwa! Duka ama hizi story zake zinapatikana wapi
Shida niliyo pata leo haisimuliki! Hiyo tovuti inaitwaje!? Maana hata link haifunguki hizi zote nilizo ambatanisha hapo sijaziona plus hio picha ndio jibu ninalo pata baada ya ku click hiyo link
Mkuu hizo episode unge edit kule mwanzo zina patikana page namba ngapi kila episode maana nimepekua post to post episode #2 sijaiona nimekuta tu ulio watag bila kuandia ipo page gani na nimesoma mwanzo wa episode 3# hamu ikaisha baada ya kujihisi nimeruka kipande kikubwa baada ya wale jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.