Search results

  1. N

    Kwa mnaotaka kuja Norway, ujipange kwa vyakula na vinywaji

    Sio uchawi. Kuna kitu amesahau kusema. Nini wastani wa kipato kwa shilingi za kikwetu.
  2. N

    Kama una hasira usifungue huu uzi...

    Ni vyema KULIMA MATIKITI NA KUUZA. ANGALIZO ni pale wanunuzi watakaposhindwa KUMUDU BEI YA MATIKITI. Mfanyakazi akilipwa vizuri MZUNGUKO WA FEDHA HUONGEZEKA.
  3. N

    Kwa limbwata hili, Tunahitaji maombi...tena ya mkesha!!!

    Upate MCHEPUKO mwema ??????
  4. N

    Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa

    Huo sio umri wa kukataa tamaa. Ni vyema ukasubiri na kupata ndoa njema kuliko kukimbilia ndoa ambayo utakuja juta baada ya muda mfupi. Subira huvuta heri. On second thought nani kakuambia lazima kuolewa?
  5. N

    Jibu swali langu? Wengi watafeli hesabu yangu

    5 + 2 x 10 kumbuka BODMAS 5 + (2 x 10) = 25
  6. N

    Safari ni Safari

  7. N

    Naomba kuelimishwa

    Hivi karibuni kumekuwa na mambo yanayonipa shida kidogo. Utakuta bendi ya muziki inatangaza kuwa itapiga shoo mahali fulani na shoo hiyo itakuwa mpaka majogoo (karibu na asubuhi). Cha kushangaza ni pale wanaposema wakubwa 5,000/= na watoto 1,000/=. Hivi watoto siku hizi wanaruhusiwa shoo za...
  8. N

    Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

    Mie sitoi tena mchango wa harusi !!!!!! Bora Lawama
  9. N

    JamiiForums ni kiboko, imenipa kazi mwenzenu

    Umesema vizuri sana. Mwanzo huwa mgumu
  10. N

    Avoid retreaded tires

    Jamani tujihadhari na matairi ya ku-retread. Angalia tairi la nyuma kushoto. Ajali hii ilisababishwa na kufumuka kwa tairi. Ilikuwa saa nne asubuhi maeneo ya Rungwe ambako hali ya hewa ni baridi.
  11. N

    Wanawake, Mkijipodoa sana mnatutisha... Ebo!

    Body ikigongwa gongwa inahitaji 'puty' ili inyooke. Ila 'puty' ikizidi body inachukiza zaidi. Nimeeleweka?
  12. N

    Huyu Baba Kiboko..

    Optimising RESOURCES
  13. N

    Samaki wenye sumu

    This is very important message. Please JF memebers try ti spread it as BUSH FIRE
  14. N

    Kong'ota

    Tumia kasi, ari na nguvu mpya ukishindwa tumia kasi, ari na nguvu zaidi - tupe jibu
  15. N

    Eng.Nsiande na Majibu ya Tatizo la Nishati ya Umeme - Must Read

    Nimefuatilia mjadala huu nimeona niweke mawazo yangu. Wizara ya Nishati kwa kupitia TANESCO imekuwa ikianda Mpango Kabambe wa Sekta ya Nishati (Umeme). Mpango wa kwanza uliandaliwa mwaka 1985. Utekelezaji wake ulisuasua hadi ukapelekea kujengwa kwa Pangani falls kabla ya Kihansi ingawa mpango...
  16. N

    Jengo la mahakama ya rufaa lauzwa kwa kempisky hotel?

    Imefikia mahali ambapo itabidi tuwaige ndugu zetu walichofanya North Mara. Huu sasa ni UJINGA
  17. N

    Mbunge wa TARIME apigwa na wananchi

    Imefikia wakati tufanye hivyo
Back
Top Bottom