Haki yake mpeni jamaaa anachapa kazi ni hivi majuzi tuu alitatua mgogoro mkubwa tena wa miaka mingi kati ya kiwanda cha Wazo hill na wavamizi was Chasimba,mgogoro huo ulikuwa ndani ya jimbo la Halima Mdee ndio sababu anamkubali sana Lukuvi!
Nakubaliana na wewe mkuu,huyu kamanda Nzoa alikuwa anapambana bila mayowe na kama siyo uadilifu wake ingekuwa rahisi sana na yeye kuwa drug dealer mkubwa hapa Tz!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.