Natafuta wimbo ulio imbwa na Deo mwanambilimbi lakini Bahati mbaya siujui jina lake ila maneno yake yanasema Kazi Yangu ni Dereva daladala/taxi ni lazima nifikishe hesabu ya bosi. Kazi Yangu ni kufagia barabara ni lazima ....
Sheria za nchi zinakataza sodomy, sasa sijui yeye dada Fatma ananukuu wapi? sidhani kama utetetezi wake ni wa bahati mbaya. Labda zipo sheria zingine zenye exceptions.
Sina tatizo na Fatma Karume kupigania haki za binadamu. Nakupongeza sana kwa hilo. Lakini lazima Fatma aelewe kwamba haki ya mtu mmoja haiwezi kuzidi haki ya jamii au waliowengi. Je yeye kama msomi na wakili mzuri, ameyapima madhara yaliyosababishwa na hawa jamaa ku post video za sodoma kwenye...
Nadhani ungesaidia kufafanua kwa faida ya wengine ili kuondoa ukakasi. Ukimjibu kwa staili hiyo, hakika utakuwa hujawasaidia wengine mkuu. Hebu weka sawa hili.
Asante Mr. Akili mgando. Yaani wewe unafikiri kufanya biashara ya Forex ni fedha za bure. Who told you?
Unalipa ada, unasoma darasani, unaweza mtaji wako huku ukiwa umetumia muda kujisomea, kufanya analysis za kutosha unaita hela ya Burr? How?
Au wewe ni wale wanaoamini kwamba kufanya kazi...
Asante Sir. Jeffy a.k.a Ontario na timu yako nzima Mr. Creation a.k.a Cre (mentor) na Mr Rea(mwalimu). Kaza buti Vijana wenzenu wajifunze vyakutosha kutoka kwenu.
Nyinyi ni magwiji wa mabadiliko chanya ya hatma za vijana wasomi wanaohangaika kutafuta ajira.
Wana Iringa, msidanganyike. Forex ni...
Watu wa mwanza, mmeletewa Neema. Jitokezeni kwa wingi kujifunza fursa hii muhimu tuliyoikosa miaka mingi ambayo internet imekuwepo lakini kwenye maarifa na taarifa hawakujitokeza mapema kujuvya wa TZ.
Big up kwa kijana ndogo wa mwili na umri Ontario ambaye amejitolea kwa nguvu zake zote...
Asante kwa majibu yenu. Mimi ni msomaji lakini Wakati kwenye kufanya technical analysis sina shida, nikija kwenye kuunganisha matukio yaani Technical na fundamental analysis ndio hapo kwenye shida.
Naweza kujua kuwa trends za pairs zitakwendaji ndani ya TF fulani lakini likija suala la...
Ninapata Wakati mgumu kutafsiri taarifa zinazoweza kuathiri trend ya pairs.
Mathalani, unaposema unemployment rate imeongezeka au kupungua, Je ni kwa namna gani itaiathiri au kunisaidia kuamua Long or Short.
Tafadhali naomba Maelezo kwenye hili huku ukiangalia pia biashara za dhahabu, Mafuta...
Binafsi sioni kama ni tatizo kurudiarudia YELEYALE ambayo anayaamini kuwa ndio kero kuu.
Ni lazima arudie kwa kuwa watu bado wanafanya YALEYALE. Naamini siku watu wakiacha kufanya YALEYALE, Rais naye ataacha kusema YALEYALE. Ni mawazo tu
Nakuheshimu lakini kwa ulichoandika sio busara kukiacha kipite hivihivi. SIO SAHIHI KABISA KWAMBA NGOMA ZA KINYAKYUSA - Mang'oma, mapenenga, magosi, mababatoni, syobhela, kituli, nk eti yana uhusiano na imani za ushirikina. BIG NO ndugu.
Mashindano ya ngoma hizo, hususani Mapalano huwa na...
Hivi HaWa accacia wakiondoka nasi tukianza kuvuna dhahabu kwa kutumia zana zetu, je tutaingiza hiyo dhahabu kwenye masoko gani? Naomba msaada kwa wale wanaoelewa uchumi wa madini duniani namna unavyoendeshwa.
Ukimsikiliza msukuma peke yake unaweza kuishia kuhukumu pasipo haki. Ina maana huyu RPC na RC ni nunda kiasi hicho. RC, RPC, nk !!!!!!!!!??. Rais katukanwa au anatukanishwa/ametukanishwa na Msukuma? Haya mambo yanaonekana ni madogo, lakini yakilelewa yana madhara. Kufanya uchunguzi na kubaini...
Duuuuh!!!!!!????. Natamani kutukana Lakini nadhani hoja zimejibiwa na wengi. Ila kama kweli hii ID ni ya Mkuu na kwamba anaweza kufanya uchambuzi wa tukio kwa kiwango hiki, basi tuna safari ndefu na ni hatari kwa mustakabali wa amani ya nchi yetu. Sasa naanza kuamini kwamba,
Kukosekana kwa vyeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.