Hello JF,
Karibuni tupate ufahamu wa aliyetuumba sote ulioanzia Tanzania kwenda mataifa mengine.Twende pamoja
UFUNGUO
Wakristo kwa Waislamu wanasubiri siku ya kiama au mwisho wa dunia! Wengi wao wakisema mwisho wa dunia wanadhani kuwa ni tanuru la moto ambalo litawaka kama moto wa kuyeyusha...
Habari wanaJF,
Wakristu kwa Waislamu wanasubiri siku ya kiama au mwisho wa dunia! Wengi wao wakisema mwisho wa dunia wanadhani kuwa ni tanuru la moto ambalo litawaka kama moto wa kuyeyusha chuma kuangamiza watu.
Hawadhani kuwa akili ya mtu na mwanadamu kufika mwisho ndio mwisho wa dunia...
Habari wanaJF,
Katika Mwanzo 2:7, Adamu 1 aliumbwa kwa udongo na mavumbi, katika warumi 8:23 kitabu kinasema kuwa sisi sote tulikuwa malimbuko ya Roho na Nafsi ambayo inaugua na ina mwili (yaani ina uadui na aliyeumba). Mwili kwa mujibu wa warumi 8:4-7 ni uadui na aliyeumba kila kitu.
Kwa nini...
Heri,
(1) Nabii Isaya katika kitabu cha Isa.4:2, alisema ipo majira ambapo kutakuwepo na chipukizi zuri. Hapa Nabii Isaya alikuwa na maana kuwa kilichokuwepo huko nyuma ni chipukizi la mabaya. Moja ya chipukizi la mabaya ambalo ndilo kubwa kuliko yote ni lile la Nafsi ya mvamizi ambalo...
Hello JF,
Katika uumbaji wa vitu vyote vinavyoonekana Kuna hatua za uumbaji na majira ambayo hayo yote yalitokea.
Ufahamu wa aliyeumba yaani Mungu Baba ambaye uhalisia wake ni CHANZO HALISI (REAL SOURCE) alikuwa peke yake (MAHALI PAKE)kabla ya roho na nafsi yeyote, ndipo akasikia uumbaji...
Habari zenu wana JF,
Kuna huu mfumo wa crypto currency ambao unaleta sura mpya katika financial markets na katika digital money.
Kwa yeyote mwenye uelewa zaidi wa mfumo huu na how it works anakaribishwa kwa mchango na mawazo.
Natanguliza shukrani kwenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.