Kwa wapenzi wa Mpira lile beat ambalo linaanza wakati kipindi cha Mpira kinaanza au Mechi aisee lina mzuka sana na hasa kama timu yako ndo inaanza mechi unaisubiria ni balaa wenzetu wanajua aisee sijui kama TFF wana beat lolote lile kama hili la EPL ambalo naliongelea.
Habari ndugu zanguni habari ya RAMADAN!! Ninataka kufanya Biashara yoyote ambayo itaniingizia kipato cha ziada najua humu kuna wazoefu wa kutosha naomba msaada wa kimawazo mawazo ya biashara ninayo ila naomba pia kupata muongozo toka kwenu asanteni
FIESTA kwa sasa inaweza isiwe na mvuto sababu kwanza wasanii wakubwa wa Tanzania hawataperform Alikiba Diamond Vanessa Navy Kenzo la pili FIESTA ilikuwa zamani mnasikilizia nani msanii Mkubwa anakuja mnafuatilia toka Marekani na walivyokuwa wajanja akija wanamweka mwishoni Mara nyingi FIESTA...
Msaada ndugu zangu Mwenye kujua vidonge vinavyoweza kupunguza mapigo ya moyo yaendayo mbio naomba anisaidie kunitajia kuna kipindi nlipewa vidonge vilikuwa vidogo vidogo rangi ya kahawia ila nimevisahau jina lake Asanteni
Nimeanza kazi na nimelipia nyumba laki 2 na nusu kwa miezi 6 sasa kichwa kinauma ikiisha hyo miezi 6 itakuwaje?naomba msaada kwa wazoefu hela za miezi 6 mnatoaga wapi? Una save kwenye mshahara au unakopa? Natumai ntapata jibu sahihi Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.