Kuna jamaa yangu kaniambia kwamba kuna hiyo association inaitwa TEDET (Tanzania Eco-Development Trust), kwamba inakusanya hela za wanachama kiingilio sh. laki 5 (500.000) ambayo inajumuisha kiingilio ada ya uanachama na shamba la ukubwa wa hekari 5 huko bonde la mto RUFIJI. Kasema makubaliano ni...
Nimesimuliwa na jamaa yangu ambaye ni mmoja wa wahanga wa tapeli huyu!
Huyu jamaa Jonh Alex ana vijiduka vitatu ambavyo hujifanya anauza vifaa vya ujenzi kutengeneza computer pamoja na mabati. maduka yako sehemu ya Kinondoni, Mbezi beach karibu na mateoclub opposite na njia ya kwenda St...
Nilikuwa nakisikiliza bunge jana usiku, nikasikia mbunge wa Karagwe Brandesi akiuliza swali la msingi kwamba kuna dispensary zaidi ya tano za kata tofauti jimboni kwake ambazo ziliomba dawa mbali mbali lakini katika bajeti hajasikia pesa ilo tengwa kwa shughuli hiyo, na kwa msingi huo ina maana...
Wakazi wa geita wanajiandaa kumuondoa muwekezaji wa mgodi wa Geita katika maeneo yao, kama wao walivo ondolewa..
Someni hapa
http://www.freemedia.co.tz/daima/2008/2/1/habari7.php
My take
Je huko tunakoelekea hatutakuwa kama Nigeria?
Nilitokea kuvutiwa na mdundo wa wimbo wa Marlaw wa rita sikiliza hapa
http://www.jamboforums.com/bongoflava.php
Nikiendelea kusikiliza nikaguswa na kisa kinacho simuliwa ndani ya wimbo huu, na mwishoni muimbaji akahitimisha kwa kusema hii ni true story!!
Lakini pia nilisha sikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.