Kiukweli siwezi sema umesema ukweli ila tayari sisi waislamu Allah amesema uzinzi ni uchafu
Kwahiyo nikama umedadafua zaidi.
Niseme NAUNGA MKONO HOJA 100%
Huwa na washangaa vijana wenzangu wengi wanapoona maumbo ya wanawake makalio /rangi nyeupe ambayo hata kwa macho tu unatambua hii sio...
[emoji1] Nashaka na elimu yako. Alafu FAKIRI utamuita nani. Kama masikini ni mlemavu basi wee ni wakwanza coz una ulemavu wa akili, maana hujui kutofautisha kati ya FUKARA NA MASIKINI
Utakuwa unakalia kichwa sio makalio. Huwezi kuandika upuuzi huu hapa au na wee ni mlaji.
Mtoa mada katoa mfano ulo wazi :watanzania hawana mapato ya kujikimu hata kwenya matumiz ya lazima kama maradhi.
Wee unakuja kusema serikali imesitisha matumizi yasiyo ya lazima. (( labda utuambie ni...
Huku mwanza TOZO YA UCHAFU KILA DUKA NI 20000 NA BAR 30000 .alafu kila geto 3000/= .
.Hivi mbinguni ni kule zinapo pita ndenge au .Naomba kujuzwa niandae nauli ya #Airtanzania nikipanda sishuki nikishuka nashukia mbinguni. #TOZO zimeniikaa hapa
Habari asubuhi wadau wa jamiiforum.
Kama Mada inavyo eleza hapo juu .Leo kapita mtangazaji akitanga kuwa mkulugenzi wa wilaya yetu ya ilemela anawataka wanao miliki Bar kulipia 30000/= na wafanya biashara wa maduka kulipia 20000/= na kwa kila kaya kulipia 3000/= kwa jili ya TAKA kila mwe'i...
Acha ushamba nawasi na akili ako .umetumia ID ipi kujua huyo ni msukuma. 1 pili huyo samia ye nae ni mwanadamu kwahiyo kila kitu tukubali .basi nguja tumchukue mkeo tumgawane niwazo kuu hilo
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo TTCL mmeona kutaja OFFICE za daresalaamu tu. Maana Dar ndo Tanzania nzima au mmekuja humu kutu enjoy . Wewe unahudumia darselam au Tanzania nzima!? .mnakera sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.