Salaam wana JF,
Naomba msaada wa kitaalam toka kwenu kuhusu yafuatayo:-
1. Najitahidi kupost views zangu humu kwenye forum lakini mimi sizioni kenye post baada ya kutuma na hata emails ninazopokea toka JF hazioneshi kazi yagu. Hii inatokana na nini? Au ili views zangu zisanbazwe napaswa kufanya...
Mh. Zito ameipa serikali wakati mgumu hadi kufikia jumatatu ijayo kutafakari juu ya tuhuma za ubadhirifu vinginevyo itapigwa kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu jambo ambalo litasababisha Mh. Rais kulivunja baraza la mawaziri. Mh. Zito amesema kuanzia kesho jumamosi wakusanya saini za...
MED inatangaza nafasi za kazi kwa:-
Afisa program - nafasi 1
Acountant - nafasi 1
Media officer - nafasi 1
Mtaalam wa kuhariri video na audio - nafasi 1
Tuma e-mail kwa rafiki.elimu@yahoo.com
Au MED Coordinator,
S.L.P 3388 Dodoma
Hi JF Dr,
Naomba msaada wa jinsi ya kutibu tatizo la kuishiwa nguvu katika tendo la ndoa. Nimepokea maswali mengi kutoka kwa wadau wetu juu ya masuala ya mahusiano lakini kwa leo naweka kwenye post maswali haya mawili kama ifuatavyo:-
1. Nini chanzo cha kuishiwa nguvu/hamu ya kuendelea kufanya...
Kiongozi wa Upinzani Bungeni Mh. Freeman Mbowe amewataka wananchi kuishinikiza serikali ya CCM kuchukua hatua za kuwawajibisha viongozi wake wanaoitia hasara nchi. Ameyasema hayo wakati wa kuchangia katika taarifa za Kamati za Bunge huku akishangazwa na uchache wa viongozi wa serikali kutokuwepo...
Wana JF;
Asasi ya Marafiki wa Elimu Dodoma (MED)inakamilisha utaratibu wa kuwa na jukwaa la majadiliano katika masuala mbalimbali ya Elimu, Demokrasia na Utawala Bora. Mijadala hii itafanyika kwa kusisha wadau mbalimbali wakiwemo Wanaharakati, Wanazuoni, Wananchi wa kawaida na Makundi...
MED inawashukuru sana wadau wote ambao kwa namna moja au nyingine mmekuwa mkishiriki kikamilifu kwenye JF kwa lengo la kuihabarisha na kuifikirisha jamii.
Nasi tumeingia humu hivyo ni martarajio yetu kuwa tutashirikiana sana katika kupashana habari na kubadilishana mawazo day to day.
Asanteni...
Serikali imesema kuendelea kuwepo kwa udanganyifu wa mitihani kunatokana na kushuka kwa maadili ndani ya jamii ambapo walimu, wazazi na wasimamizi wa mitihani hufanya hivyo ili kusaidia upatikanaji wa alama za juu kwa watahiniwa. Je wana JF; hakuna namna ya kusaidiana kukabiliana na tatizo hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.