Kituo cha televisheni kinaelezea kuwa kuwa uwezekano mkubwa kuwa nchi ya Qatar ikapinduliwa na akina Saudi Arabia, UAE na Misri ambazo zimefunga mipaka yao na pia kuzuia ndege za Qatar kupita kwenye anga zao (tazama picha hapo chini) na hii imepelekea Qatar kutumia anga ya Iran
Pia kutokana na...
Inaingia vipi akilini kuwa Television ya Taifa/TBC ambayo ina unlimited budget na resources za video zake zina kiza na mwingu lakini video zinazotolewa na huyu kijana Millard Ayo ambaye videos zake ni za Simu ya mkononi ni High Definition (HD) na ni ziko clear.
Mfano tazameni video ya TBC za...
Kwa kweli sikutegemea kuwa zama za Magufuli idara ya mawasiliano ingekuwa efficient kiasi hiki na hasa ukizingatia kuwa ni zama za kubana matumizi hivyo Idara hii ingekuwa inafanya kazi kwa bajeti ndogo na wasingeweza kufanya haya wanayofanya. Ukweli lazima usemwe kuwa tulitegemea makubwa sana...
Kwa hali ilivyo nina wasi wasi kama kweli wafuatao wafuatao wanapewa daily presidential briefing
Marais na makamo wao wastaafu, mawazariri wakuu, Majaji wakuu wastaafu na Wakuu wa jeshi wa staafu juu ya hali ya maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa
Na kama kweli hali ni hivyo then reality...
Kuna jambo la kujifunza hapa....
Tanzania Daily News front page 13 March 1990
The ‘Daily News’ brought out its biggest ever headline on March 12th 1990 to report the shortest ever cabinet meeting.
Ministers arrived in their cars and, according to a report in Dar es Salaam’s ‘Business...
Waziri kivuli wa biashara (Chadema ) aliamua kukaa kimya
Freeman Mbowe naye aliamua kukaa kimya
Hii ilikuwa ni investment na jambo ambalo linaathiri maisha ya watanzania zaidi ya 5000 kwa namna moja au nyingine
Hawa viongozi wa up insanity walikuwa na access na privilege za kujua taarifa a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.