Search results

  1. Libya

    Simba kucheza kiporo chake cha Azam Federation 28 February Azam Complex

    Hawa watoto wa TRA wanacheza vizuri kuliko Simba
  2. Libya

    FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

    Watakua wanalingana point then wanaangalia head to head kati ya yanga na CRB nani kamfunga mwenzake gori nyingi! Bro umepaniki nini! Yanga kashatinga robo fainali
  3. Libya

    Askofu Gwajima akabidhi ambulance mpya Kawe

    Sio habari hakuna jipya
  4. Libya

    Wazee walioanzisha vuguvugu la kusaka Uhuru

    Kutoka kulia waliosimama: 1. Abdallah Shomari (Tandamti no. 3) 2. Nassoro kalumbanya (simba str.) 3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo str.) 4. Mtoro Ally (Muhonda str.) 5. John Rupia (Misheni kota) 6. Julius Nyerere( Pugu Sekondari) 7. Said Chaurembo (Congo/ Mkunguni str.) 8. Jumbe Tambaza...
  5. Libya

    Jiji la Dar es Salaama - Dar es Salaam Tanzania historia yake na Uislam

    Kabla ya mwaka 1868, Jiji linalofahamika kwa jina la Dar es Salaam, halikuwepo kabisa. Badala yake kulikuwa na mji ulioundwa na miji mitatu maarufu, ambayo ni Kunduchi, Mbwamaji na Tindwa. Kila mji ulijitegemea, huku idadi ya wakazi wake wote kwa jumla haikuzidi watu 2,000. Kati ya miji hiyo...
  6. Libya

    Kondomu niliyotumia inavuja, kichwa kinawaka moto

    Unadhani ni rahisi kupata ukimwi hivyo
  7. Libya

    CCM nambari wani

    .
  8. Libya

    Tujuane kwa simu tunazotumia

    Samsung S10 5G, 512GB
  9. Libya

    Nampinga Robert Heriel kuhusu dhana ya umasikini

    Kuna Fukara, masikini na Tajiri Fukara ni mtu ambae anashindwa kumudu mahitaji ya msingi kama vile chakula, malazi na makazi Masikni ni mtu ambae hana uwezo wa kukidhi mahitaji yake ya msingi kama nilivyoainisha hapo juu na kuwa na akiba Tajiri ni mungu peke mkwasi wa kila kitu, Kinyume...
  10. Libya

    NMB app mnatuangusha

    Una uhakika line iliyoko kwenye simu na selection zake kwenye data , sms na call ndo hiyohiyo uliyosajiri through simbanking , kagua vzr
  11. Libya

    Kuna ukweli wowote kati ya kuwahi kuamka na kupata mafanikio

    [emoji3514]Tabia 1- Kuwahi kuamka* Utafiti uliofanyika na Mr Thomas ulibaini kuwa asilimia 75 ya mabilionea wanaamka saa 11 alfajiri. Si hivyo tu hata tajiri wa kwanza Tanzania, Mo Dewj alipohojiwa alisema anaamka kila siku saa 11 alfajiri. Kuna faida nyingi sana unazipata unapokuwa unawahi...
Back
Top Bottom