Asante, wengine acha ila kila shetani na mbuyu wake. Wala tusionane punguwani, ni jambo la muda tu coz kama nikuacha utaacha wangapi. Ni bora uwe na ushahidi wa kutosha then uamue.
Ewe mama Aisha wangu kipenzi cha moyo wangu, najua unafahamu ninavyokupenda tangu ukiwa f6 mpaka leo tuko ndani ya ndoa zaidi ya miaka miwili sasa.
Unajua kiasi gani nimespend kukufanya alwayz moyo wako ufarahi, kama kutoka out regularly tumetoka sana tu, pamba safi, salon nzuri na wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.