Watu wengi hasa vijana wamekua wakipinga kwanguvu na kwa lugha ngumu na msisitizo kuwa Bandari isipewe wawekezaji.
Je kuna uhusiano kuwa wengi wao na ndugu zao wananufaika na ajira za Bandarini na mishe mishe za pale ambazo wanahisi muwekezaji itakua ndo mwisho wa wao kula?
Je ukosefu wa ajira...
Wakuu habari
Mwenye uelewa na Likizo bila malipo kwa watumishi kama wa afya, elimu na serikali kuu anieleweshe
Je kuna ukomo
Je utaratibu ukoje.
Asante
Wakuu habari, poleni na majukumu ya hapa na pale.
Umepewa 5,000,000 na umeambiwa uchague kuanzisha kati ya biashara zifuatazo.
Uuzaji wa chuma za aluminums na vifaa vyake
Duka la simu na accessories zake
Duka la vifaq vya ujenzi
Unahitajika ushauri, maoni, mapendekezo, uzoefu
Kama kuna kitu kingetegeshwa ili kugharimu maisha ya mamilioni ya vijana wa Tanzania, nini kingetumika kati ya hivi[emoji116]
[emoji3591]iPhone 14 pro ya bure
[emoji3591]Nafasi ya Ajira ya benki
[emoji3591]Shamba la bure
[emoji3591]Degree ya theolojia bure
[emoji3591]Mkopo wa USD $400...
Huyo mwalimu ni wa private na miaka 21 nadhan ni wa madrasa tu na nidhamu za hapo kwe io shuke ya kidini. Na mbali zaidi usiamini huu uzi kwa asilimia 50
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.