Search results

  1. goodfool

    Msaada kujua gharama ya kufyatua tofali 4,800

    NATAKA KUFYATUA 45 JAMN
  2. goodfool

    Uhusiano kati ya suala la DPW, kutukanwa Rais na ugumu wa maisha

    Watu wengi hasa vijana wamekua wakipinga kwanguvu na kwa lugha ngumu na msisitizo kuwa Bandari isipewe wawekezaji. Je kuna uhusiano kuwa wengi wao na ndugu zao wananufaika na ajira za Bandarini na mishe mishe za pale ambazo wanahisi muwekezaji itakua ndo mwisho wa wao kula? Je ukosefu wa ajira...
  3. goodfool

    Ikoje likizo bila malipo?

    Una uelewa lakini, na je umejibu swali?
  4. goodfool

    Naomba wazo la biashara ya kuanzisha kwa mtaji wa milioni 5

    Sitaki zambi, utapeli, ujanja ujanja
  5. goodfool

    Ikoje likizo bila malipo?

    Wakuu habari Mwenye uelewa na Likizo bila malipo kwa watumishi kama wa afya, elimu na serikali kuu anieleweshe Je kuna ukomo Je utaratibu ukoje. Asante
  6. goodfool

    Naomba wazo la biashara ya kuanzisha kwa mtaji wa milioni 5

    Wakuu habari, poleni na majukumu ya hapa na pale. Umepewa 5,000,000 na umeambiwa uchague kuanzisha kati ya biashara zifuatazo. Uuzaji wa chuma za aluminums na vifaa vyake Duka la simu na accessories zake Duka la vifaq vya ujenzi Unahitajika ushauri, maoni, mapendekezo, uzoefu
  7. goodfool

    Kugharimu maisha ya mamilioni ya vijana wa Tanzania, nini kingetumika

    Kama kuna kitu kingetegeshwa ili kugharimu maisha ya mamilioni ya vijana wa Tanzania, nini kingetumika kati ya hivi[emoji116] [emoji3591]iPhone 14 pro ya bure [emoji3591]Nafasi ya Ajira ya benki [emoji3591]Shamba la bure [emoji3591]Degree ya theolojia bure [emoji3591]Mkopo wa USD $400...
  8. goodfool

    Exclusive: Developing Story ya Mwanafunzi aliyeua Mwalimu ( Patron ) Shule ya Kiislamu ya QIBLATEIN Kawe

    Huyo mwalimu ni wa private na miaka 21 nadhan ni wa madrasa tu na nidhamu za hapo kwe io shuke ya kidini. Na mbali zaidi usiamini huu uzi kwa asilimia 50
  9. goodfool

    Nimetoka juzi Kongo, wametupita vitu vingi sana

    GOMA kwa yule dada aliyekua anaua na anapika supu ya watoto ?
Back
Top Bottom