Je wajua?
Ukifanya tendo la ndoa na mtu ambaye huna ndoa naye ni uzinifu? Ndiyo, huo ni uzinzi!
Hebu tuwe wa kweli kutoka moyoni ni nani anauhakika kwamba yeye si mzinzi? Ni Kweli wewe hujawahi kufanya tendo la ndoa nje ya ndoa? Vipi X wako mlikuwa hamfanyi? Mchumba wako je hufanyi naye...
Kuzaa siyo dhambi ila sababisho la kuzaa linaweza kuwa ni dhambi. Kuzaa ni matokeo ya kufanya tendo la ndoa..inakuwa dhambi pale watu wasio nandoa kufanya tendo la ndoa. Bila shaka umenielewa.
Na apokwe tu maana hawezi kushikilia mashamba bila kuyaendeleza wakati wazawa hawana pakulima kisa yeye mo,tena mwambie anyamaze
Kweli Mo ni mwanaume mwambieni aseme alipotekwa alifanywa nin? Mwambie Mo serikali hii haogopi Rangi yake akivunja sheria atanyanywa ardhi bila kupepesa macho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.