Wakati mwingine tuache kuendekeza mambo mepesi, hata mafundisho ya dini ya kiislamu hayakatai kuwa kuna viongozi wa dini wanafki kama yule mchungaji ni mtiririko wa vina tu ndo umemvutia Dula kumtaja Mchungaji.
Achilia mbali wale inaosemekana wamejiua!!! Kuna wengi sana wamekufa kwa
Shinikizo la damu kutokana na msongo wa mawazo uliopitiliza... mmoja tumemzika
wiki iliyopita ama hakika........
Tofauti na vile wengi wanavyokuchukulia mimi ni miongoni mwa watu
wanaokuamini, wewe ni Mjanja na msomi mwenye hadhi pia, naamini
kama utashika hiki kijiti tutasonga mbele.
Wakati umefika sasa wa kutumia elimu yako kuipeleka Tanzania kule Tunakohitaji
Chenge tunakuhitaji 2020
Nimetafakari hili jambo mpaka akili yangu imefika ukomo, Mshana na wengineo
naombeni kuelimishwa hili jambo ambalo siku nyingi nimekuwa nikilikanusha kwa
kusema kuwa ni Imani zilizopitwa na wakati linatokana na nini?
Yaani kwa sasa naamini kabisa nikiwashwa na mkono wa Kushoto basi haizidi siku...
Bado mambo ni magumu, waliahidi mwisho Tar 30. March leo Tar. 8 April
Mashamba hayajaandaliwa. CCM ni bora ijitafakari tu haifai tena kuongoza
nchi hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.