habari mkuu, natamani sana kupata mrejesho wako kwenye hili sio kujua kama unauchungu au huna umepata hasara au hujapata la hasha napenda kujua nikweli kabisa hukuona hii kama utaperi na nini hasa kilikusukuma uione kama kitu kizuri ni nyalaka za usajiri na uwepo wa ofisi na watu wa mwanzoni...
wewe ndio hujaelewa maana ya mitihani ya mchujo. mitihani ya mchujo hutolewa dalasa la nne na kidato cha pili na husimamiwa na balaza sasa wewe kama unawalimu wazuri na maktaba safi hofu ya nini fundisha ngojea kidato cha nne ataye pata sifuri hawezi laumu shule yako atajilaumu mwenyewe sio...
jogi fikiri upya kama unaona shule yako niyavipanga chuja wakati wa kuwachukua ukisha wachukua ngojea mtihani wa kidato cha pili uchuje sio unachuja kila mwaka na kufukuza watoto bila sababu hata shule za vipaji maaalum zilichuja wakati wa udahili sio kidato cha kwanza kwenda cha pili. hizi...
kikubwa mnachogoma kuelewa nikwamba serikali imechukua pesa zake ili iepuke kukopa kwa benki za kibiashara nakuingia gharama kubwa ya riba kuliko faida inayo patikana. pesa zimewekwa BOT ili serikali iweze kuzikopa bila riba yoyote huku taasisi zikiitaji zirudishiwe kwa matumizi husika ya bajeti yao
habarini wakuu,
naomba kupata muongozo wapi naweza kupata maelezo ya kina kuhusu hali za hewa za mikoa ya Tanzania na mazao yanayoweza kustawi katika mikoa husika. napenda kupata takwimu za kitaalam na sio uzoefu na wenyeji wa mkazi wa mkoa husika.
Heshima mbele wakuu.
Naomba msaada jinsi ya kudowload series ya American Odyssey. nasikia ninzuri sana ila nimejaribu torrent site zote nimekosa mwenye ujuzi tafadhali naomba msaada
Heshima mbele Jamani naomba msaada crome yangu inasumbua kila page ninayosumbua inajaa hizi Triangle trial ads ambazo zinanifanya nishindwe fanya kazi kwa haraka naombeni msaada wa kuziondoa.
Kingunge kasema maneno ya kweli kabisa watu wengi walishindwa kutafakari hayo sababu walishabikia kukatwa kwa lowasa ila kimsingi mchakato haukuwa wa haki ukichukulia mfano wa lowasa kutokuwemo kwenye kinyanganyiro je wangeendesha mchakato kwa uvunjifu huu wa taratibu?
Hapa hatubishanii...
sijapata majibu lowasa anawatisha nini. mwenye maamuzi ya nani awe rais sio mashabiki wa lowasa ila niwatanzania walio wengi. yote haya yanasemwa sababu lowasa anaonekana kupendwa na watanzania walio wengi embu tumpumzishe tungojee maamuzi ya watanzania hayo mambo ya tofali na jembe hayana...
Ukikosa unachokipenda basi unalazimika kupenda ulichonacho. Tanzania kwasasa tunapenda 2015 kupata kiongozi wakusadikika ambaye kimsingi wenye nafasi ya kushika dola hawana hiyo sifa hivyo nashauri tujipange kupenda tulichonacho na kimsingi lowasa ni zaidi ya wapinzani wake kwa kukuepushia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.