Selikali inayo jitegemie ,wabunge waio mawaziri,wala hawapo katika bodi aina yoyote hiyo,ndio nzuri maana hakutakuwa na kuoneana aibu katika utendaji wa kazi siku zote,kulio serikali hii yetu ,wewe mwenyewe mbunge,alafu ni waziri,nani atakaye muhoji mwenzake sasa?
Mwanahapa Isaack,nimefurahi sana Tosa boy wangu ulivyo kuwa makini ,kwani nia yako haijaanzia hapa tangu enzi za mwapinga,Fyudo na charwe ulikuwa kipaumbele katika haki,umeonge jema kaka,mpango wa maandamano vp?upo tayari kaka au?
Pole sana kaka,watu wengi wanasumbuka na maumivu,ya namnambali mbali,hilo kwako pia ni umivu,ulilo umizwa na mama yako,kusamehe na kusahau ni jambo muhimu zaidi,kwani litakusaidia kukuondolea hayo maumivu uliyo nayo kaka yangu,usipo samehe utabaki katika hiyo hali ,ni ngumu lakini Muombe Mungu...
Tanzania ,Tanzania nchi yangu yenye maziwa na asali ,nakupenda sana,nawapenda wana nchi wenzangu,ila naumizwa na selikali yangu ambayo haingalii maslai ya Taifa lake na wananchi wake,tupo pamoja wakubwa katika maandamano
Nchi iogozwayo na waroho wa madaraka ni hatari,ni hatarai kwa tuliopo na vizazi vijavyo,shida kubwa wengi wa viongozi wetu wanafikiria juu ya matumbo yao,ni vp wataendelea kupata ulaji baada ya miaka 25 ijao,that's way wanatafuta sheria ambazo zitawanafufisha wao na chama ,ili kidumu,so its...
Kazi zingine zinahitaji watu waaminifu,kutokana na mambo unayo yapita katika huo ufundi wa IT,mbali na kuiba hela wanaweza kuiba hata documents muhimu sana tena nyeti,na kuziachia hadharani,Elimu ya kompyuta inahitajika sana hasa maswala yasecurit katika mtandao wa kompyuta
Dada yangu pole sana ,kwanza sali sana kwa mungu kwa kumwombea toba mumeo kama kuna vifungu vya ibirisi vilivyo mfunga Mungu amfungue,omba toba pia kwa ajili yako,pili mwanamke ni msimamo usibabaishwe na na hali yake ya uchumi bali mueleze kuwa unakerwa na tabia yake ya UMALAYA,
Usiache kumpenda...
Mwanadamu ana njia nyini za kuuliza au kuuamini ukweli wa jambo fulani,sas ndugu mbona unazunguka sana,wewe nenda tuh,kama una amini nenda kama huaminibasi basi usiende ,usitumie kisingizio cha kusema kuna njia nyingi za kupata utajiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.