Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Habari za hivi punde ni kuwa Baadhi ya wajanja wa Mambo ya ICT katika benki ya NMB Bukoba wameiba sh milioni zaidi ya 60.Kwa sasa benki imwefungwa wakijaribu kuona kama wanawweza kupata fedfha hizo.
Habari iko hivi.
Fedha hizi zimeibwa kupitia kitengo cha mikopo cha hii benki na kwamba Uongozi wa benki ulikuwa ukibadilisha mfumo wa computer kutoka mfumo A kwenda mfumo B ndipo wajanja walipotumia mwanya huo kuamisha fedha hizo kiulaini.
Benk imefungwa,wateja wapo wanasota .
Je kumbe ICT ina madhara makubwa kama haya,wataalam wa ICT jamani tumieni utaalam wenu kwa mambo yenye manufaa?
Habari iko hivi.
Fedha hizi zimeibwa kupitia kitengo cha mikopo cha hii benki na kwamba Uongozi wa benki ulikuwa ukibadilisha mfumo wa computer kutoka mfumo A kwenda mfumo B ndipo wajanja walipotumia mwanya huo kuamisha fedha hizo kiulaini.
Benk imefungwa,wateja wapo wanasota .
Je kumbe ICT ina madhara makubwa kama haya,wataalam wa ICT jamani tumieni utaalam wenu kwa mambo yenye manufaa?