Hatuwezi kuweka michango ya maana huku dirisha bado halijafungwa, hatujui nani anaweza kuondoka nani anaweza kuingia, inawezekana ilo eneo unalosema tayari usajir ushafanyika sema hajatangazwa, na inawezekana kuna watu washaondoka sema hawajatangazwa, cha muhimu ni kusubiri usajir umalizike
Mimi naamini kwamba Sawadogo ni mchezaji mzuri sana, shida ni match fitness na kuzoea league, kama hatabaki Simba atakuja kuprove watu wrong, tunza hii comment
Mimi nafanya ya chips, sijaanza muda mrefu, nimemuweka wife asimamie kama biashara yake, kwa siki analaza sio chini ya 20, weekend kama jumapili analaza hata 60
Unahama team kisa chaguzi za uongozi!, shabiki haami team hata siku moja, unaweza usikubaliane na yanayoendelea kwenye uongozi, ila huwez hama team kama ni shabiki wa kweli
TFF tamko peke yake kuhusu kitendo walichofanya mashabiki wa Yanga halitoshi, hili tukio mnaweza kuliona ni dogo sana, ila tukio hili ni kubwa mno, tunapelekana pabaya, bila mashabiki wa Yanga na club ya Yanga kupewa adhabu, mashabiki wa Simba watakuwa na hali ya kulipiza kisasi na kwa umati wa...
Ila wakati mwingine uache kutetea ujinga, me mwenyewe leo nimemsikia akisema wamemtoa Polokwane na wa Maurid akauliza kwa kukazia kwamba wamevunja mkataba na jamaa akaitikia, jamaa amekuwa muongo muongo siku hizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.