naomba msaada kuna muwekeza anataka kuingia ubia
ameniandikia hivi sasa nifanyaje
would like to have separate partnership agreements with each of them (need to work with lawyer there) to form the beginning of a well-diversified investment portfolio
hiki ni kipande ambacho nahitaji msaada
Naomba msaada wa kupata software amboyo itaniwezesha ku control user katika matumizi ya mtandao internet ili niweze kutambua mtu mwenye matumizi makubwa niweze kulimit.
Natakuliza shuklan za dhati naomba kuuliza kitaalam mwanamke bikira anaweza kupata mimba iwapo amefanya mapenzi lakini mwanaume akamwaga mbegu kwenye uke bila kumtoa ile bikira yake? Naomba kuwasilisha wadau
Hivi ukimtole mwanamke mahali na umezaa nae baada ya hapo mkakosana na kutenge je anahaki ya kuomba talaka? na kuhusu mtoto ninahaki ya kumchukua baada ya muda gani mtoto mwenye now ana mwaka mmoja.naomba kuwasilisha
Hivi kweli kuna mtu Hafahamu kuwa Dr Slaa ndie mtu aliyechaguliwa na sir God kuokoa Taifa Hili.lakini wakachakachua sasa wanakiona chamoto vichwa chini nafsi zinawasuta na aibu juu nyuso zao hazina tabasamu tena leo tanzania (uchumi unakufa siku za usoni,kulipa kampuni hewa kama dowanc,bala la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.