Hawa waheshimiwa kuna tatizo karibu kila mahali kuna dc wa wilaya ya kilolo naye wanamlalamikia wanawasiwasi na taaluma yake naweza kupata cv yake ndg wana jf
Wapiganaji naomba nijifunze kuhusu dhana ya kukimbiza mwenge,toka mwenge umeanza kukimbizwa serikali sijawahi kuona inahairisha ratiba ya kukimbiza mwenge.hivi karibuni serikali imebatilisha ratiba ya kukimbiza mwenge na kwamba itakuwa inakimbizwa kwa kila makao makuu ya mkoa kwa mwaka 2011...
bado tatizo lipo serikali kuu kwani walituma walimu bila kuto apesa za kuwalipa walimu hao na hatima yake wanaanza kukopa kwenye source zingine kama vile fedha za maendeleo na ndio maana miradi huwa haikamiliki kwani serikali hiyohiyo iliyotuma huwa inaleta maagizo bila kujali kuwa hizo fedha...
Ni heri kipindi cha mwalimu mambo yalikuwa yanaenda na kiongozi aliyekuwa mkt wa ccm wananchi walikuwa wanamwamini hata akiwa anaongea wanamuelewa lakini hivi sasa,wanaccm weneyewe hawamwamini kiranja mkuu wa ccm
kunasababu ya kumfanyia mapinduzi kiranja mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.