But hata upinzani nao naona wanazingua. Hivi wakishindwa wao kupambana na serikali kwa hoja zao,wananchi tutawezaje? Wanayo kazi ya kuhakikisha mambo yanakwenda inavyotakiwa unless watuambie lao moja.
Hapa lawama zote mimi nazielekeza kwa wanasiasa. Wao ndio wanajua kila kitu kuhusu taifa hili..lakini hawapo tayari hata siku moja kuweka mambo hadharani,wanatuhubiria ujinga tu sijui sisiyemu mbele kwa nyuma lakini ipo siku watu watasanuka tu.
Kwani lazima tufanane mawazo, any way hata likitokea la kutokea nina uhakika mchango wako uyaishia humu jf..wa kuamua wataamua babu, usijifanye unaipenda sana tz maana ni unafiki tu na kutafuta sifa.
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Sijaongea, nimeandika buana. Kwa hiyo unataka kuniaminisha kwamba bila hilo ziwa hao watu hawawezi kuishi? Huo ni uvivu wa kufikiri,Fursa zipo kamanda wacha kulemaza akili. Sina uhakika kama rasilimali za hilo ziwa zinawanufaisha hao wakaazi hisika inavyotakiwa.
Sent from my TECNO-Y4 using...
Hana lolote huyu..ukahaba tu unamsumbua,kama anataka pesa akakeshe casino maana huko ndipo atapata ela zote anataka. Najisikia aibu sana kusikia/kukuona mwanamke mzima anaandika hizi non sense, ameaibisha mama zetu Wa ki Afrika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.