Kwa wakati huu ni jambo la kawaida tu jiamini toa hofu si makubwa yakutisha sana Mtoto wa kaja angu miaka 17 wa kiume yameanguka kabisa..vyakula tunavyokula vinachangia sana..
Rafiki hizi ndoa majanga... Ila kwa sasa nimeleta MTU mzima watoto watatu kawaacha kwa bibi nimemuleza kila kitu akiakua shauri yake atapigwa mimba ya NNE.. Namlipa Mara tatu ya mishahara ya mabeki tatu ya kawaida ili aweze kuwasaidia wanae... Ni mama anaejitambua na anajituma sana na...
Ni nishazoea kila Dada husband anapitia mbaya zaidi hachagui ndg jamaa na marafiki..nimebadilisha mpk nimechoka nilichoamua mdada akija tu namwambia hali halisi akiamua kufanya wafanye tu. Nimechoka na hilo... Kwa upande wangu nimeidhinisha
Kwakweli ni ujinga unasaliti ndoa, hatua mkeo akijua huwezi kuuona sanasana utamtiua akipata mimba huwezi kuilea utamtelekeza utasahau km alikukatia mauno...we ni jamii ya huyo shetani ndio mana umefata nyayo zake
Dah... Familia nyingi zinapita kwenye misuko suko ya hatari... Poleni wote ambao wazazi wenu walipitia hayo... Binafsi mama yangu alishawahi kupigwa mpk mimba ikaharibika.. Mama aligeuka NGOMA ya baba... Ila nashukuru yeye aliamua kurudi kwao kabla hatari haijamkuta... Ndoa zinamambho
Kuliko kuwapa Hawa wa dada wa kazi wanawatesa wanaingiza wanaume ndani wanafanya yao watoto wanawake na huyo aliesema masista wanawakoa mwongo nimelala sana hapo shule na Hawa watoto... Labda angesema mamatron wanaolala nao ila nalo sina uhakika yeye.. Hizi habari za kuambiwa na wewe utakuja...
Huyu katumwa sio bure mwanangu kamaliza pale na bahati nzuri nimelala sana pale shule kila nilipokuwa naenda... Mwongo mkubwa... Acha tabia za ajabu we kwa Muda mfupi uliwezaje kuyajua hayo...
Yaani huo ni ujinga nimeumia sana.. Siku zote ibada njema huanzia nyumbani.. Ni hii yote ni haya makanisa ya kitapeli yanayoibuka kila siku.. Yameteka akili za watu mpk hawajitambui ni ujinga huo
Muda mrefu sana nilikua ni mmoja wa kufatilia habari zake... Munga tehenani Kuna mambo alinishauri vizuri sana... Nilitamani ifike jumatano ninunue gazeti Lake la kutambue mpk leo nina stoo ya magazet yake.. Alitutoka mapema mnooo. Bado tulikua tunamuhitaji.. Mungu amlaze mahali pema peponi
Hallow wadau naomba kujua mahali zinapouzwa mashine ya popcorn hii inayotumia baiskeli pamoja na jiko la gesi.. Naomba kujua bei yake na mahali zilipo nipo dar... Asanteni
Wadau wa jf poleni na majukumu tafadhali naomba mwenye kujua wapi zinauzwa mashine za popcorn au bisi zenye baiskeli na mtungi wa gesi mahali zinapouzwa na bei yake anijuze nimetafuta sana nipo dar.. Nahitaji sana... Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.