I s better akachezea timu ya vijana uingereza then baadae aamue mwenyewe, akija bongo ni majungu tu ukizingatia hata African cup of nation hatuchezi sasa atatusaidia vipi mwache dogo wa watu ashine huko duniani
nadhani hiyo nsample ya watu 200 itakua ni walke wenye vyeti vinavyothibitisha maginjwa yao ni vzr ili kuondoa utata, tusubiri tuone jamani ili wengine tuklie hii doubt...
20% he is managed to be awarded five kili music awards, he is a real natural talented musician with natural voice, sio kubana pua, mostly his songs real touch society..big up 20%,wewe chunga tamaa mbaya...
kwa kweli wenye hili suala la sukari kuna hujuma hapa coz viwanda vina sema vina sukari ya kutisha kwenye magodown so iweje sokoni yapanda bei kila siku?
Awe na discpline na fani yake nadhani na wabongo tumechangia kwa dogo kudrop kwa kumpamba so much as if amemaliza kila kitu ndo maana kila akipata mapumziko kidogo aja kula bata, cha muhimU bado anayo nafasi ajipange upya he can stil make it...tunamhitaji kututangaza watz..best of luck HASHIM..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.