Nipo mbezi mwisho nauza hivyo vitu kwa bei zifuatazo!
Viti 14 vya plastic 8,000@
Meza 4 za plastic 20,000/=@
Kabati la Alumimium futi 4 urefu
250,000/=
Friji kubwa la kioo 300,000/=
Vimetumika kidogo vyote vipo ktk hali nzuri, naviuza sababu nahama.
Nyumba inauzwa ipo kinyerezi,ni mwendo wa dakika 5 kwa bodaboda toka kinyerezi mwisho stendi bei tsh. 20,000,000 (milioni ishirini tu) kwa maelezo zaidi PM
Habari wanaJF! kutokana na matatizo niliyoyapata katika Biashara zangu, natangaza kuuza nyumba ambayo ilikuwa bado kidogo kukamilika. imepauliwa, ina vyumba vya kulala vitatu, viwili ni futi 10 kwa 10, masterbedroom ni futi 18 kwa 12, jiko na store. Ina bafu na choo, ipo kwenye eneo la mita 30...
Habari wanaJF wenzangu.nimepata field ktk kampuni ya TICTS,natakiwa kuripoti jumatatu ijayo,nimemaliza chuo na mina Advanced Diploma in IT..naomba msaada kwa waliowahi fanya field hapo je,wana support yoyote ile?je wana kawaida ya kuajiri watu walioko field?..
Habari wanaJF wenzangu.nimepata trainee ktk kampuni ya TICTS,natakiwa kuripoti jumatatu ijayo,nimemaliza chuo na mina Advanced Diploma in IT..naomba msaada kwa waliowahi fanya field au traineehapo je,wana support yoyote ile?je wana kawaida ya kuajiri watu walioko field?..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.