Poleni na majukumu wakuu
Nina div 4 ya 26, shule moja ya private imenikubali kusoma uku na resit kuitafuta c 1, Lakin Pia Nime vutiwa na hii course yA community health Napenda kusomea afya japo siku Soma masomo yA sayansi kutokana na shule yenyewe umefika wakati wa mimi kutoa maamuzi yatakayo...
Za mchana wadau.
Jaman me English yang sio nzuri Asa kwenye kuongea
So iwant to Learn more
Wapi nitapata British councell nzuri? na huo unajifunza kwa mda gani ?
Nikisubili mwakani kuanza chuo
Baada ya kumaliza kidato cha nne
Sasa nipo home2 wadau kama kuna kazi you yoyote ya kuingiza kipato tusaidiane
Huku nikisubili ada ya chuo[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] maisha xhida
Morn jf.
Nimekuja kwenu kuomba ushauri kimawazo mwanzo niliambiwa nitafute chuo nikachaguliwa certificate in law mzumbe now Wazazi wanasema hawana Ada nivumilie mpaka mwakani ila watashulikia kuhusu kuingia jkt
Nipo confused Yani
Nifanye Au nisome kitu gani kifupi Kwa kipind ichi niki wait...
Nimsaidiaje huyu dada?
Hakuchaguliwa mara ya kwanza ila sasa anataka abadilishe course ya kusomea. Hajui asome nini na alisoma Arts O-level matokeo 4 ya 28 halafu leo mwisho.
Jamani nime apply Nacte [law] Lakin naona wanazingua lakini wAzo lililo nijia kwenda Advance(private) ila kikwazo matokeo
Kisw C
Engl C
Hist D
Geo D
Civ D
Bio D
Math f
Nisubili Nacte au niende privat
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.