Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea amekanusha madai ya DC wa Kinondoni, Ali Hapi ya kufukuzwa ktk ofisi zilizokuwepo kwenye jengo la Halmashauri ya Kinondoni
> Adai ameondoka ktk ofisi hizo kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa na alikabidhi ofisi kwa barua
#DARMPYABLOGUPDATES
Inauma sanaaa!!!! Kuona watesi wa watanzania wazalendo kama lissu ni watanzania wenyewe!!! Tena wale waliotumia lugha nzuri kuomba ridhaa ya kukalia kiti cha enzi!!!
Eehe Mungu msaidie Tundu Lissu apone kabisa!!!!
Tazama haya yote aliyapigania sio kwamba anapenda kuishi maisha ya kuwindwa kama...
Baba wewe ni Mungu wa wenye haki, unafanya njia pasipokuwa na njia , wewe ni Mungu usiyeshindwa !! Tunaomba umsimamie shujaa huyu aweze kupona kabisa na kurudi ktk majukumu yake ..
ameen
Sent using Jamii Forums mobile app
*_Baba askofu Gwajima!!! Atangaza kuwa jumapili atakuwa na ibada ya maombezi kwaajili ya muheshimiwa Tundu Lissu kanisani kwake, ambapo maombi hayo yataambatana na kukemea na kulaani kitendo alichofanyiwa Rais wa Chama cha mawakili ambaye pia ni mbunge wa singida mashariki. Wale wote watakao...
Majibu yako hayapo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
*IMBA ROMA; MUNGU WA PAULO NDIYE WA DAUDI NA JOHN*
Na Luqman Maloto
Usiyaone ya jirani ukashabikia tu, vifua vina mengi yanafichwa ndani yake. Si kila ukatili ambao mtu anatendewa lazima atoke na kuusema kinaga ubaga. Inawezekana ni...
Siku za kwanza kwanza chuoni nilikua napotea venue za kusomea kila siku duuuh nafika kuipata venue muda umeisha nakutana na lecturer anaaga jamoney jamoney nilikua narudi jioni nimechoka sanaaa na sijaingia kipindi hata kimoja wallah nilikua nalia kama mtoto usiku kitandani kwangu
Sent using...
Huu utaratibu haupo mkuu... Utaratibu uliopo Mara baada ya bajeti kupita majukumu ya kiserikali huendelea kama kawaida na habari ya kusomeana mapato na matumizi hufanywa ktk ile siku ya kuvunja bunge ambapo ripoti husomwa na ofisi ya waziri mkuu kuhusu utendaji kazi wa kipindi chote kwa kila...
Hakika wanastahili adhabu hiyo kama sio kifungo cha maisha ...maana tukiyafumbia macho yatakuja kuota sugu ndo mwisho wa siku yanakuja kutia umasikini taifa
Heshima zenu wana JF.
Katika harakati za kuendelea kukomesha tabia ya ubadhilifu wa Mali za umma mnamo tarehe 13 mwezi wa sita katika Bunge la serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha dar es salaam (DARUSO- Mlimani campus) mbunge wa viti maalumu kutoka ndaki ya insia / College of Humanities (COHU)...
Kwanza napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa uongozi mzima wa chuo kikuu cha Dar es salaam(UDSM) na Serikali ya wanafunzi wa chuoni DARUSO ambapo Leo serikali hii iliyokua madarakani kwa takribani mwaka mmoja sasa chini ya Rais wake Leon na Makamu wake mkuu Shamira Mshangama inaenda kumaliza...
Ur still our hero dear nape hakika umeingia ktk historia ya taifa hili la viwonder kwa kupinga ufedhuli, na upuuzi wa chama tawala......bado tunahitaji viongozi kama wewe ktk nchi hii kuondoa aina ya ufedhuli unaoendelea.....all the best
Aluta continue
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.