[emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji444] [emoji444] only God can judge me[emoji444] [emoji444] [emoji443] [emoji443] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji441] [emoji441] RIP 2PAC
Sent using Jamii Forums mobile app
Neno "bantu" lina maana ya neno "watu" kwa kiswahili. Kusema maasai ni wabantu; maana yake wamaasai ni watu. Mzungu pia ni Mbantu vilevile kulingana na naana halisi ya neno 'bantu'.
Sent using Jamii Forums mobile app
mila za waisrael wa kipindi hicho ni ngumu sana kuzitofautisha na wabantu wa leo ukiachana na rangi zao. Kurithi wajane na sheria zote za Musa kwa wabantu wa sasa ni mila na desturi wala si dini hata kabla ya kutawaliwa na wazungu, pia laana ya torati 28 ni wabantu pekee ndio wanaoonekana kuishi...
Kweli mkuu, sijakwazika bali umenipa mwanga mkuu, kwa heshima kwako ni lazima nikasomee udereva kipindi hiki japo kozi zingine ni lazima nisome kulingana na jinsi hali ilivyo ya kimaisha mkuu. Asante sana . Jah guide
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.