Wewe unaona magumu lakini mwenzako ndo kazi yake na analipwa mshahara mnono kupitia hayo unayoita magumu , kwenda tuu uwanjani kushuhudia timu yake ikifungwa anapewa posho
Jude ni beast wewe huwez mwelewa , Ile mechi na city Madrid alienda completely defensively , na dogo alitaabika Sana...mwanzoni mwa Msimu alikuwa kama striker ila sa hv hayo majukumu kapunguziwa ..ndo mana hata kwenye magoli haonekani sana
Kocha wako mwenyewe kaelewa Ila wewe imekaza fuvu , alaf ieleweke haaland na debrune waliomba watoke mana Ngoma ilikuwa nzito
Meanwhile, Guardiola has appeared to aim a sly dig at Real Madrid for defending so deeply.
‘I would prefer to win, first of all,’ Guardiola added. ‘Congrats to Real...
Ndugu hakuna njia nyingine ya kudeal na guradiola zaidi ya hii , cha msingi tuu uwe na watu wenye ambition na ambao hawakosei , game iliyopita uliona timu ilifunguka na matokeo yake tuliona , ilikuwa ni risk leo kufunguka mana ungepigwa nyingi na uwezo wa kuzirudisha ni unpredictable.... Sema...
Hospital zenye ngazi Sawa na hospital za kanda kuna utaratibu wa kufata , unless uwe na kifurushi cha Bima cha VVP , Ila hvyo vifurushi vingine Mzee inabd uanzie health center huko wakishindwa ndo wakupe referral
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.