Kwa upande wangu nimekuelewa sana, hilo sio tatitizo la simu, bali source yke ni kuathirika na mother tongue, nimewahi kufundisha kanda ya ziwa wanafunzi wengi sana wanashida hyo had kwenye uandishi, kwenye a anaweka h(hayupo-ayupo, Mungu-Mugu, Igoma-Ingoma, Njoo-joo, maji-manji, hela-ela). &Coz...
Nauza mashine ya bisi bado ipo katika hali nzuri na inafanya kazi vizuri sana, inapatikana Nyanguge-Mwanza, bei 280000(laki mbil na 80) maongezi kidogo yapo. Nichek 0625782871.
Nauza viwanja bei poa, vipo eneo panaitwa Nyanguge, ni km 30 kutoka katikakati ya jiji la Mwanza(dakika 20-25) eneo linafaa kwa ujenzi/ufugaji, mita 110, kutoka barabara kuu ya Mwanza-Musoma, cha kwanza kina ukubwa wa 50x48( mil 2.8) cha pili ukubwa wa 104x32(mil 3.8) nichek pm tufanye biashara.
Habari wakuu,, ni maswali gani uliwahi ulizwa na wazazi/ndugu zako ulipoenda kuwambia kwa mara ya kwanza umepata mchumba anataka aje kujitambulisha/kumtambulisha home? Karibuni kwa michango.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.