waooo!!!!!!!!!! very interesting comment. main issue here is as parent let them be as god made them and not making them be like the way parents are because that will never hapen but as parent you have to be alert with any changes to your kids so that their remain in moral line because sometime...
It looks like ur under 18's na kiswahili cha kukariri, maana walioambiwa wakubwa wameelewa na kufurahia ujmbe go back to school and dont jump to something that is not ur level
mbu hamna ulazima wowote wa kupeana password za vitu ulivyotaja lakini pia si uvamizi kwa maana huyo ndiye uliyeridhia kuwa mwandani wako so why to hide anyway. hapo unaanza kumpa wasiwasi maana kwa kutumia kigezo cha kuaminiana kunawafanya wa take advantage. pia si issue ya kuchunguzana ila ni...
Da! mbu thread yako imegusa sana si member sana wa chumba hi lakini imenigusa sana maana muda huu nimenuna kwa sababu mama baby wangu ametoa priority kwa shughuli za nyumbani mpaka nahisi upweke na nimejaribu kumbeep ananiambia its not right time while ni wkend ya kuwa hm nae...
ukweli utabakia kuwa ingawa amekuwa akilalamikiwa kwa kuruhusu watu wake kuingia kwenye mikataba mibovu lakini aliweza kufanya vitu ambavyo viliweza kuonekana machoni pa watanzania. si taarabu tunazoziona sasa maana hata ukimuuliza mtu yoyte asiye na ufahamu wa kutosha kuhusu maendeleo kuwa nini...
mzee unauliza pdf ya bajeti yetu wakati ukiangalia taarifa za mwezi uliopita bado hazijapositiwa nchi hi mwendo mdogomdogo. nahisi kama tupo kwenye kisiwa ambacho hakina mawasiliano sehemu nyingine ya dunia maana kila kitu tupo nyuma.
mzee hongera kwa kuongeza umri na kumkaribisha israeli ingawaje hujatuambia umefikisha miongo mingapi isje ikawa ni wale wanao ibia miaka ya wenzao maana tumeambiwa na wanaopanga muda wetu wa kuishi kuwa tusizidishe 50
hi issue ya mindset tu hamna lolote hapo. lakini nashangaa wanajf mnaanza kuonyeshana tofauti zenu za dini na mapokeo yenu ya kiimani badala kujenga mtabomoa. kwa mungu hakutakuwa na hizi dini bali utaulizwa kama ulitimiza wajibu wako uliotumwa kwayo
tunafeel the same way kwa sababu kwanini mwanaume awe wa kutumika tu aumize kichwa kupanga maneno ya kukutongoza,aanze kukuhudumia kwa kila kitu na mlivyo wa ajabu ukiona tu jammaa anakumendea unapanda bei ghafla. hiyo haitoshi hata tukiwapa kila kitu mnaanza oh he doesnt satisfy me au oh haendi...
hayo ni mambo ambayo yamekuwa ya kawaida kabisa kwa kizazi kilichopo so nothing new is just bse you saw it but there hundreds of it. na kuna notion siku hizi kuwa akina babu ndio wazuri kwa, mosi kutoa bajeti nzuri kila unapopresent ombi no objection and with surplus also they dont bother them...
cha msingi kama makubaliano ya kirafiki yameshindikana basi tumieni haki za kisheria ambazo naamini zinaweza kuwasaidia. ingawaje pia mama wa huyo mtoto ana sauti ya kuamua nani awe baba wa kulea huyo mtoto,swali langu ni kkwamba huyo mtoto anatumia jina la nani na pia makubaliano yenu yaliweka...
lets the arsenal get rid of wenger bse he fits being an academician rather being a proffesional coach. otherwise the troph draught will keep drainin on us
nashukuru sana kwa ushauri wako wenye kujenga mkuu. issue yakunishirikisha mambo yake ananishirikisha na pia huwa namshirkisha wife wangu maana wanafahamiana so if the is any family she tends to inform us and viceversa
thx kwa ushauri lakini hilo la kumshirikisha my wife itakuwa ni dharau kubwa sana kwake. na ndio maana nimeiweka hapa kupitia ushauri wenu nifikie uamuzi ambao utakuwa mzuri kwangu na familia yangu
mimi ni baba wa familia(nimeoa) kabla ya kuoa nilikuwa na rafiki yangu wa kike ambae nilidumu nae kwa miaka mitatu hivi. nilipokuwa tayari kuoa nilimtaarifu mwenzangu kuwa nataka kujitokeza kwao aliniambia kuwa kwa wakati huo hayupo tayari kuolewa kwa sababu bado hajajiandaa na wazazi wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.