Nimetumia Brevis 2500cc kwa miaka mitatu mfululizo kipindi fulani. Nimefanya safari ndefu nyingi tu, sijawahi kupata hiyo 12km/l, sijawahi. Ni mara chache sana nimewaza kufikisha 10points km/l; na hapo nimeendesha kiuchumi sana; spidi kati ya 90-120km/hr na mara chache sana inafika 130-140km/hr...
sIO
Sawa shekhe. Hoja yangu kuu ni kwamba; dini tuziendee kwa akili sana. Tena kwa kipimo na maarifa kwelikweli. Ukizivaa kichwa-kichwa zinapumbaza mpaka unakua mjinga na mtumwa wa imani.
Haven't heard or read about such lost civilization in East Africa...and so, i might not be helpful. Just got interested on Masudi's tale and memories, hope its a book or something documented; planning to ready it already.
Wish you get someone helpful; JF is very big forum, someone will show up.
Kuna video clip moja bondia wa zamani Mike Tyson anasema anatamani angesaidia zaidi ya alivyofanya, angekua na furaha zaidi ya aliyonayo sasa. Kwa hakika clip ile ilinibadilisha sana. Furaha yetu iwe katika kuwasaidia wengine. It makes you feel good
Kwanza nishukuru JF (founder na uongozi wote) kwani nimepata kazi nyingi baada ya post yangu hii ya kuhusu uchimbaji wa visima. Nimepokea simu nyingi zilizonipa kazi, zilizotaka tu ushauri na hata zile za kuni-challenge. Nawashukuru wote. Niliahidi kuandika zaidi kuhusu masuala ya uchimbaji wa...
Usijali. Haitakuja kuwa hivyo, hatutaliwa. Hili likifanikiwa, atatawala mpaka afe. Na atakua ameshamuandaa yule kijana wake kuchukua madaraka, hivyo ataendeleza pale pale alipoachia baba yake. Umeona, hapo? Hakuna tatizo kabisa. Usiwe na hofu.
Nyie kabsaa? Wananchi wa Tanzania hii hii? Eti muwale vichwa wabunge wenu, thubutuuu!! Nyie wenye mtindio wa ubongo, kichwani mmejaza kamasi, maoga hata mnapoonewa, hamjui haki wala wajibu wenu; mtaanzia wapi kuwala vichwa? Not in hundred years!
Mbona yeye mwenyewe wa hovyo? Yeye ni kiongozi wa kundi lililowezesha upuuzi-puuzi na wapuuzi kuwa taswira ya mafanikio. Asijitoe ufahamu, punguani waheed!
Nilisoma masters na sina lengo la kufanya PhD (japo siondoi uwezekano huko mbeleni wa mimi kusoma zaidi). Kwanini nilifanya masters, na kwanini sitafanya (any time soon) PhD?.
Nilipomaliza undergraduate niliajiriwa kwenye ofisi inayojihusisha sana na tafiti. Kwa kiasi kikubwa kazi za ofisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.