Ungejua, Mimi nafuatilia sana ni namna gani ya mkumsaidia Mkuu wa nchi ila wapo wanaonifuatilia mno, kwanini nafuatilia. Hakuna mwenye nchi sote ni katukumeni wa kiinanchi kwa kila mmoja, aseme ndiyo au hapana akiwa na vilelezo vya mashiko...! Wewe unasemaje..?
Kwanini baadhi ya watu hupenda kupokea zawadi? Hakika zawadi ni sehemu ya faraja kwa mpokezi wa zawadi hiyo.
Lakini nisaidieni, ingawa wenye falsafa ya dini husema heri kutoa kuliko kupokea! Nani atoe? Baadhi ya watu wengi hupenda kupokea zawadi kuliko kutoa inakuwaje kijamiii?
Nani ana taarifa sahihi za kushikiliwa kwa mwana jf...?
Kwanini ashikiliwe...? Kama kuna ukiukwaji katika kazi zake, kwanini mtandao usifungwe, iliuchunguzi ushike nafasi, kama yafungiwavyo baadhi ya Magazeti...? Ukweli utadhihili...! Nijuzeni wanajf kulikoni...?
Si jambo rahisi kwa binadamu kupokea kila jambo kama shimo la taka....!
Sijaridhishwa na lugha iliyotumiwa na baadhi ya vyombo vya habari vilivyotoa jinsi aliyepofushwa macho...kuwa ameneemeshwa...!?
Matumizi ya kuneemeshwa kwangu na waungwana wengine yana ukakasi kifikra kwani nstambuwa...
Ni watu wachache sana wanaoweza kuhoji jambo linapotokea baadhi huwa na maamuzi ya kuhukumu...! Hususan kati ya wawili mmojawapo akiumizwa....[emoji84]
Kwa ujumla hukumu kama hizo hutokea kwasababu watu hupokea taarifa za upande mmoja...ni vigumu kupata taarifa zote kwa wakati mmoja....si...
jipange kielimi nafsi (kisaikolojia)......mapenzi si mgando angalia muktadha....kuona ni mkataba wa hiyari lakini kabla ya kiruka agana na nyonga....kila la heri.....! anzia hapo...!
Sent from my TECNO M3 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.