*Good News! Habari Njema!*
*MJI KASORO BAHARI*
*M O R O G O R O*
* *Forex Trading Training in MOROGORO*
Wengi mlisema Morogoro mmetengwa, tumewasikia. Tunawaletea Guru wa Forex Tanzania, Prophet Abraham Laizer!
Tangu tuanze safari zetu mikoani kwa ajili ya kufundisha watu biashara ya...
Very good response nahuzunika watu wanapopotosha vitu ambavyo ni simple kuelewa.
Kweku Adoboli - Wikipedia
Hii link huyu jamaa ni mghana ...ni forex trader. Alikuwa anafanya kazi kitengo cha forex kwenye hiyo bank tajwa. Though alifanya fraud na kuisababishia bank hasara kubwa sana.
But this...
Nimecheka sana eti mtu anafananisha forex na betting
Forex ni Elimu km unavyosemea uhasibu (c.p.a), to become a trader lazima usome na uwe na mentorship hadi utakaposimama. Forex ni investment, forex ni biashara.
Anyway nilichogundua watanzania tunalack information. Kuna mwingine humu jf...
Sijui sana pia lakini bitcoin ifuatilie zaidi. Ifuatilie mkuu....tafuta interview za kina bill gate on bitcoin utube.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu fanya online transactions na international banks kama equity, Barclays, etc ...local banks zna ukiritimba mwingi kwenye hizo issue ....au jiunge na bitpesa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.