Deni halikimbiwi waungwana.
M-PAWA wananidai 60,000/= SONGESHA wananidai 12,000/= wote nitawalipa ila M-PAWA nimewasubirisha miezi mitatu sababu walinikera kila siku sms za kuniambia nilipe kabla ya muda wa kulipa haujaisha.
Fika dawati la jinsia kutoa malalamiko ili baba wa huyo mtoto aweze kuwajibishwa atimize majukumu yake.
Ukishindwa hilo huyo mama wa mtoto geuza mchepuko wako na ikibid tia mimba kabisa ili ku activate akili ya mkeo
Mnapenda sana kupitiliza au mnaiga kweny tamthilia bila kujua wale wapo kazini wanatafuta pesa?
Baada ya kuwakuta wanagegedana nini sasa kikakupeleka barabarani? Wenge au?
Natamani nikulime bakora za maana ujinga ukutoke kichwani.
Kampa mimba mama mkwe au kipi hasa maana hakuna kipya chini ya jua.
Huenda kiusaliti chenyewe pia cha kipuuzi tu.
Kiweke wazi tukuoneshe makubwa zaidi ya hilo na hayajawatenganisha watu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.