Naendelea kuwapa mrejesho ndugu zangu mradi wangu unaendelea kuku wale wale waliokua wanalalia nmewarudishia mayai kwa awamu ya pili na tatu Hawa wengine nmeacha watage tu pia Kuna kitu nmejifunza kupitia Hawa kuku wa kienyeji ukimuachia nje azurure atataga kila siku na ukiwa unamfungia utagaji...
Mkuu bila shaka upo kwenye mazingira ambayo yanakubana lakini mimi nipo sehemu ambayo gunia la pumba linauzwa elfu12 na nje Kuna wadudu panzi na mchwa wa kutosha bora Ata mimi hua nawapa pumba kdg majirani zangu wao wanafungulia asubuhi na wanafungia usiku
Karibu
Nina mbinu nyingi sana na pia Nina eneo kubwa sana ambalo kuku jioni napomaliza shughuli zangu binafsi hua nawaachia huku na me nikiwa nawafatilia kwa karibu ,chanjo nipo makini sana
Wadau humu wamejaa ujuaji lakini me nafuga Hawa kuku na kwa hakika wananineemesha sana kuku wa kienyeji Ana faida nyingi sana ambazo nyie vijana wa mjini hamzijui
Kumekuwa na kasumba juu ya swala Zima la ufugaji wa kuku wa kienyeji kuonekana kama ni swala lisilowezekana yaani kufuga kuku wa kienyeji mpaka kufikia idadi kubwa yani 1000, 2000 au hata 3000
Baada ya majaribio kadhaa ya kufuga hawa kuku sasa rasmi nmeingia kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji...
Mkuu we huijui singida pale Kuna chuo cha uhazili,veta,tia chio cha afya pale hospital ya mkoa,chuo cha ualimu lake,chuoa cha ualimu singida sec,chuo cha maji,chuo cha ualimu st Carolas kule juu na mavyuo mengine kibao mpk ya utalii
Pale singida nilifungua goli la chips nikatajirika
Huenda we...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.