"Decision making" ni somo kama masomo mengine, linafundishwa na kueleweka na kumbadili mtu kuwa bora ktk eneo hilo, hakuna mkamilifu, hakuna anaejua yote, ktk hili mh.raisi wetu akubali kuwa ngumbaru wa somo hili, apate package yake, sio lazima arudi darasani, anaweza kusoma hata kwa muda wake...
Napokea rekebisho hilo mkuu na nakubaliana na wewe kabisa maana hata hiyo nafasi ya "askofu mtarajiwa" haipo ktk kanisa, hivyo mtoa mada aliiweka/aliipachika kutaka kuishibisha kiu yake na nia yake "ovu"
Swali hili naamini mtoa mada hawezi kujibu na ndio msingi wa hoja yake ya "ukabila" kanisani. Anazunguka bure na kutoa mifano mingi isiyokuwa na uhusiano na alicho nacho nafsini. Huyu mtu na wengine kama yeye ndio "wakabila" wakubwa na hivyo ni wa kupuuzwa kwani mchango wao hauna tija kwa taifa...
Weka akiba ya maneno yako hasa ktk kipindi hiki kigumu kwa familia na taifa kuhusu mbunge huyu na mama wa familia, wakati huu ni kumweka mikononi mwa Mwenyezi Mungu mponyaji aweze kumwangalia kwa huruma na pia ni wakati wa kuifariji familia yake, haya mengine ya kisiasa...cjui planned au...
Waafrika sis cjui tuna tatizo gan, unamwachaje mtu madarakani miaka 36? Haya sasa, ameshiba ameanza kucheulia kwenye shingo zao, tufike mahala tujitambue, nchi zetu ni kubwa kuliko watawala wetu tunaowaabudu kama miungu, tutazidi kutukanwa na kina Trump kwa akili zetu za hivi.
Mbaya zaidi...
Tunapoambiwa tunakusanya kodi kuliko awamu yoyote iliyopita, tunaamini ni kweli, tunapoambiwa misaada imeongezeka kuliko awamu zote tena inatufata yenyewe bila sisi kuifuata, tunakubali...
tunapoambiwa tumepunguza matumizi, vikao ni chini ya mti tena kwa juice cola na pipi kifua, hakuna ziara...
Kifo cha huruma (euthanasia) kinakatazwa ktk nchi zenye imani ya dini ya Kikristo hasa wakatoliki, ni mwiko kusaidia au kushiriki dhambi hii, kwa mujibu wa mafundisho yao, uhai ni mali ya Mwenyezi Mungu, kama ambavyo hukuhiari kuumbwa hivyohivyo huna hiari kuishi au kutokuishi, aliyetoa ndiye...
Humble correction: mwadhama kardinali Emmanuel Wamala amestaafu rasmi uaskofu mkuu wa jimbo Kuu katoliki Kampala - Uganda mnamo 30 September 2006 na kurithiwa na mhashamu askofu mkuu Cyprian Kizito Lwanga ambae alisimikwa tarehe tajwa hapo juu hadi sasa.
Shukrani kwa shule nzito na muhimu sana...
Maaskofu wa hapa wameshasema ya kwao ni jukumu la mkulu kuyachukua au kuyaacha, huko magharibi ndo hali imekuwa tete, jambia zinatembea kwenye shingo za watu, usiku na mchana.
Baraza la Maaskofu Katoliki Nigeria ambalo linafanya hija ya kitume mjini Vatican kwa kukutana na kuzungumza na Baba Mtakatifu Francisko pamoja na waandamizi wake, limesikitishwa na kuhuzunishwa sana na mauaji ya mapadre wawili: Padre Joseph Gor , Padre Felix Tyolaha pamoja na waamini 15 huko...
Yule Jirani yenu Mzee aliesema mmetumbukia kwenye siasa huenda kumbe mngemsikiliza, hapa sioni mpasuko ndani ya kkkt bali misuguano ya pande mbili yenye mlengo tofauti ya kiitikadi, ukiondoa haya kanisa halina shida yoyote.
ONYO: Kkkt chukueni tahadhari kuna watu huenda wana maslahi na mgogoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.