Tupo hapa Kobil Mlimani City. Kuna fujo ya hali ya juu. Ni kama ni kituo pekee kinachouza mafuta kwa ukanda huu,hali ambayo imesababisha magari na raiwa wenye vidumu wengi kusongamana na wengine kupigana. Barabara ya kwenda Sinza imezibwa kabisa. Ni kama baadhi ya scene tuonazo Somalia.When this...
Mi ni mteja wa Airtel, nakumbuka kuna member alichangia humu jamvini kwamba kampuni za simu zinawaibia wateja. Aidha kwa kufahamu au kutofahamu. Nimefuatilia mara kadhaa, leo nime prove alicholalamika yule Bwana. Airtel wana promotion ya kutuma sms 5 ambazo utakatwa pesa kisha unapewa sms 100 za...
Kwa mujibu wa report ya mkaguzi mkuu wa serikali, NSSF inaweza kupoteza zaidi ya Tshs 50 bilioni katika baadhh ya miradi inayotaka kuwekeza ambayo inaonekana ni hatarishi (Risky Investments). Miradi hiyo ni pamoja na Kiwira Coal and Power limitd. Tukumbuke pesa hizi zinatokana na makato ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.