Naombatu kuuliza. Kwani mafuta ya kumsafirisha x Mayor wa Ubungo na Malisa huyo alietoa alishindwa kweli kusaidia hapo karibu?
Hakuna utu tena. Itafikia mahali watu watachukuatu maiti zao ajalini wakazike bila kusubiri hao watajwa
Unaacha kuwashauri vijana na makundi mengine ya kiraiya unawashauri waliotengeneza tatizo walitatue?
Wazalendo ni akina Wasira na Makamba au nani? Hebu tupe tafsiri ya uzalendo tuone hao wazalendo wakuipigania katiba mpya hapo ni akina nani.
Zaidi ya Warioba taja mwingine
Inaweza kua bora zaidi maana kuna kale kautafiti kalisema watanzania wanakabiliwa na tatizo la afya ya akili kwa kasi.
Ona watu wanavojiua au kuuwa wenzao. Hilo ni tatizo la afya ya akili.
Ona machawa walivokua wengi. Akili inakua imezorota
Hao viongozi bora wasingeenda huko Afrika Kusini maana hatujaona wakilalamika. Wachezaji walipoa tu hawadai. Wawaangalie waarabu wanavominyana.
Yanga wametia aibu kama taifa la watu wakuonewatu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.