Kwa wale wakazi wa Dar es salaam
Nyumba inakodishwa iko wilaya ya Temeke (Mbagala kizuiani),
Vyumba vitatu, dinning room, sitting room na jiko.
Ina eneo kubwa la parking
Umeme na maji
Iko mita 250 kutoka barabara kuu ya rami.
Kwa mawasiliano
0717337571
0718052790
Nini ni kile kitu kimoja unakiogopa zaidi na unajaribu kukikwepa kwa nguvu zako zote?!
Kinapokuja unakabiriana nacho vipi?!
Please share your story, it is through reading each other stories that we develop and grow.
Karibu
Kuna siri kubwa sana chini ya majina tunayotumia humu JF pamoja na avatar zetu (wale wanaotumia picha zisio zao).
Kwanini uliamua kujiita A na sio B?!
Kwanini a jina feki na sio jina harisi?!
Nadhani nianze na mimi mwenyewe, sizzya007 ni jina modified kidogo, hapo zamani nilikuwa natumia...
Wajameni, hamna mtu anayelipinga swala vijana kupata kazi na kujishughulisha, hayupo! Isipokuwa na vigumu sana kuamini yanayofanya na serikali ya awamu hii ya tano, mengi yanaonekana yako kisiasa, na hii ni hatari, nchi inaongozwa kwa mihemko ya kisiasa zaidi! Nitatoa mifano ya mambo kadhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.