Watu kama nyie ndiyo mnaturudisha nyuma. 2017 bado una matumaini ya Lowassa kuwa rais wako, kweli? How old are you and what is your level of education? You must be a Trump voter. Really.
Hivi wewe unaijua Military-Industrial Complex au unaongea tu? Unafahamu uhusiano wa supporters was Trump na hiyo Military-Industrial Complex? Unajua maana ya slogan ya Trump "Make America Great Again?
Sijui unamaana gani unapotumia neno udhalimu? Serikali zote duniani ni serikali za kidhalimu hata hizo serikali zenu za Saudia na ile mnayoipenda sana ya Oman wote wadhalimu.
Mzee Jumbe as early as 2000 hakuwa kifungoni. Alikuwa ana miaka 80, mzee wa miaka 80 angeenda wapi? Angeenda surfing...
Du! Sijui unaishi dunia ipi mkuu? Jumbe alikuwa anasafiri anakwenda kokote anakotaka as early as 2000. Wenye busara waliona hichi kifungo kilikuwa upuuzi waka tupilia mbali.
Hahahaa! Huo wimbo wa "Tax payer's money sisi wote tunaufahamu - tatizo lako jazba nyingi. Mwinyi na Mkapa wamejengewa nyumba Mikocheni, Kikwete Ada Estate. Need I say more?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.