SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Kuna watu wanaamini tokea mwanzo alikuwa ni pandikizi la Hillary ili bi mkubwa awe na mteremko.
We mwenyewe hebu jiulize tu...mgombea gani wa urais tena wa taifa bora zaidi na la muhimu zaidi duniani ana behave namna ile?
Mtu anakejeli walemavu...anashinda kwenye social media hadi usiku wa manane...anakashifu kila mtu hadi marais wa zamani wa chama chake....
Huyo ni mtu aliye serious kweli? Ni mtu anayetaka kuchaguliwa kuongoza Marekani kweli?
Binafsi siamini kama ni pandikizi. Huwa siko mtu wa conspiracy theories.
Lakini tabia za Trump kwa kweli zinashangaza.
Na mimi tokea hata kabla hajatangaza kugombea nilishasema kuwa jamaa hayuko serious kabisa.
Trump hautaki urais