mbukwenyi" inaonesha unamengi sana juu ya athari za safari. pole bwana kama na wewe umo.
Mbukwa mihanyenye
Kuimarisha mahusiano na mataifa mengine, kkupata mainvesters wapya, kutangaza nchi hivyo kupata watalii na n. k na n. k.Huu mkutano una faida gan kwa tz kpekee
Amka ulipo lala
Ama kweli!!!
Kaa na familia yako kama ndiyo uwezo wako wa kufikiri
HaaaaaaKwani ni lugha gani inatumika kwenye huo mkutano? Kama ni kiinglish, usitarajie kwamba mkuu wa kaya atathubutu kutinga ukumbini.
Duuh!Kwani ni lugha gani inatumika kwenye huo mkutano? Kama ni kiinglish, usitarajie kwamba mkuu wa kaya atathubutu kutinga ukumbini.
Nilimswanu mpalakugendaMisaa du ulimswanu comrade igwe
Wakuu kwa upande wa Kenya naona Makamu wa Rais Kenya kaishatua New york, huku kwetu vipi? Au hatuendi?