Hali ilikuwa ngumu sana jana ilibidi tuwe na translator
Ondoa majungu na chuki zako hapa. Hivi wewe hata hicho ki-ingereza chenyewe unachopigia kelele unakifahamu kweli?
Hali ilikuwa ngumu sana jana ilibidi tuwe na translator
namshkuru Mungu nakijua kwa kiwango cha zaidi ya kudefine catalyst!Ondoa majungu na chuki zako hapa. Hivi wewe hata hicho ki-ingereza chenyewe unachopigia kelele unakifahamu kweli?
namshkuru Mungu nakijua kwa kiwango cha zaidi ya kudefine catalyst!
MZEE WA LIBYA NA KISWAHILI CHAKEDik.... anasema Sadamu hussen alikuwa Rais wa Libya!!!
Kuna siku kasema Alienda Libya ilikuwa na hali nzuri kiuchumi watu wake zaidi ya million 30, walikuwa wanakula mema ya inch......mabeberu wamearibu libya, cha kushangaza Libya hata watu million 8 hawana