Kikwete kweli alikuwa wa Kimataifa: Umuhimu wa Lugha ya Kiingereza

Mkuu mi nmemtaja putin tu hamba sehem nlikomtaja jpm so tuongee abt putin maana abt jpm sifaham kip anajua kipi hajui nk,labda kuhusu putin anajua english vizur tu na wala sio ya kuunga unga so unaweza ingia youtube au vimeo ukadownload speech ambayo kuna mahali aliongea english...anafaham pia kijeruman hcho ndo anaunga unga....
Isha sema ktk post yangu
Isha muona akiongea ktk TV ktk shughuli za kimataifa
Obama fluent yake sawa na Putin?
Ndiyo swali langu hilo
 
Hicho kiingereza cha JK cha form II wewe umeona lugha? Jamaa anaomba hadi vitabu toka kwa mwananume mwenzake kama mwanamke malaya. What a shame?
 
Kama tatizo ni kiingereza ndicho kinaweza kuitangaza Tanzania katika sayari ya dunia Mimi kwangu nasema WATANZANIA tunaishiwa Na hekima.kiingereza ni lugha kama kihehe ama kikurya.nini kifanyike kuitangaza nchi yetu Mali za asili zilindwe Na kutunzwa,tamaduni Na mila za KILA jamii ziendelezwe,wanamichezo Wetu waandaliwe kwa kadri ya uwezo Wa juu NDIO nchi yetu ipate sifa nje.
 
Hicho kiingereza cha JK cha form II wewe umeona lugha? Jamaa anaomba hadi vitabu toka kwa mwananume mwenzake kama mwanamke malaya. What a shame?
Mwanamke malaya ni mama yako alopigwa mtungo na walevi ukapatikana wewe! Ndo maana humjui hata baba yako!Pumbavu kabisa! Ibilisi mkubwa usiyekuwa na adabu kwa mkuu wa nchi!
 
hahahaaaa, Jamaa ni mjanja sana, wakati akiwa bado anawakilishwa akidai kuwa ana kazi nyingi sana hapa nyumbani, lakini tumeshamshtukia kumbe sasa hivi yuko chimbo kufundishwa kiengereza, na mwalimu wake ni kama yule yule aliyemfundisha kiingereza Diamond, mtakuja kushangaa siku akitoka na kuanza kuzungumza kimombo, halafu atachepuka na kusema sasa hivi lugha ni kiingereza tu muachane na kiswahili ili tulete maendeleo ya haraka. yetu ni macho na mashikio.
mkuu hvi mondi kingereza alifundishwa na nan?
 
Uongozi sio lugha....wala kiongozi mzuri sio kujuaa English!!!..

Ila kuna faida nyingi sana kwa kiongozi hasa wa inch changa kama Tanzania kujuwa walau lugha za kimataifa, watu watakeji Ooh mbona China, Japan na Russia viongoz wao hawajui English!! Hapana huwez kulinganisha Umaarufu wa Inch ya china, japan, russia na Tanzania.

Rais kujuwa English anaitangaza inch, watalii, wawekezaji, misaada, heshima ya inch.

Leo Rais wa inch Masikini Tanzania na ana Phd na ameipata kwa kutumia Lugha ya Kiingereza na bado hawezi kuongea kiingereza kilicho nyooka.

Jk amekuwa Rais mbovu kuliko walio pita, kwasababu ameuwa institution's muhimu za inch...mf Tiss, Jesh la Polis, Mahakama,Takukuru ect! And it will take more than a decade hizo tasisi zirudi sawa kama enzi za Baba wa taifa....pia na Kuongezeka kwa Rushwa.

Ila ndie Rais Pekee alie Pigana kuitangaza Inch yetu kimataifa. Inaweza chukuwa miaka ata 20 kuja kumpata Rais ambae anae Weza kuitangaza Tanzania kimataifa kama Jk.

Hongera sana Rais Jk.....ulijitaidi sana kuzurura na kuitangaza inch yetu kimataifa, tulipata misaada mingi na wawekezaji wa kutosha. Mirithi wako anasema anabana matumizi na kukusanya kodi laki bado tofauti ya kodi inayo kusanywa sasa na ile uliokuwa unakusanya tofauti yake ni kidogo sana.

Hongera Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa kutu tangaza, mirithi wako labda aongozane na mkalimani.
Ww lugha uwakilishi hapa walikurupuka 2
 
Hicho kiingereza cha JK cha form II wewe umeona lugha? Jamaa anaomba hadi vitabu toka kwa mwananume mwenzake kama mwanamke malaya. What a shame?
Heshima ni kitu cha bure kijana! usiwe na roho chafu kiasi hicho! jifunze upendo
 
0
Uongozi sio lugha....wala kiongozi mzuri sio kujuaa English!!!..

Ila kuna faida nyingi sana kwa kiongozi hasa wa inch changa kama Tanzania kujuwa walau lugha za kimataifa, watu watakeji Ooh mbona China, Japan na Russia viongoz wao hawajui English!! Hapana huwez kulinganisha Umaarufu wa Inch ya china, japan, russia na Tanzania.

Rais kujuwa English anaitangaza inch, watalii, wawekezaji, misaada, heshima ya inch.

Leo Rais wa inch Masikini Tanzania na ana Phd na ameipata kwa kutumia Lugha ya Kiingereza na bado hawezi kuongea kiingereza kilicho nyooka.

Jk amekuwa Rais mbovu kuliko walio pita, kwasababu ameuwa institution's muhimu za inch...mf Tiss, Jesh la Polis, Mahakama,Takukuru ect! And it will take more than a decade hizo tasisi zirudi sawa kama enzi za Baba wa taifa....pia na Kuongezeka kwa Rushwa.

Ila ndie Rais Pekee alie Pigana kuitangaza Inch yetu kimataifa. Inaweza chukuwa miaka ata 20 kuja kumpata Rais ambae anae Weza kuitangaza Tanzania kimataifa kama Jk.

Hongera sana Rais Jk.....ulijitaidi sana kuzurura na kuitangaza inch yetu kimataifa, tulipata misaada mingi na wawekezaji wa kutosha. Mirithi wako anasema anabana matumizi na kukusanya kodi laki bado tofauti ya kodi inayo kusanywa sasa na ile uliokuwa unakusanya tofauti yake ni kidogo sana.

Hongera Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa kutu tangaza, mirithi wako labda aongozane na mkalimani.
Hivi jamani mnasoma taarifa lakini au mnakurupuja tu? Je unesikia kuwa watalii wameongezeka
Je unajua kuwa watu maarufu wengi wanakuha Tabzania ba wabataka kuja Tanzania kwa ajili ya kumuona tu obe of the intelligent presidents in the world? Je unefanys analysis bebegit za mwananchi wa kawaida na hizo trip zake za nje.
INAILEKEA ULICHELEWA SANA KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA
Kwa kuwa hapa tunaandika na hatu-type you might be right!
 
Marekani haina mbuga? Really? Fanya utafiti kabla hujatoa mifano. Kukusaidia tu nikupe mfano ya mbuga maarufu Marekani ijulikanayo kama Yosemite National Park.
Pitia pitia Google utapata aina ya wanyama waliopo kama dubu na aina ya nyati mkubwa anayeitwa Bison.
Okay, unaweza kuwa unajua Kiingereza lakini unaongea pumba na hicho Kiingereza.

Nimetaka kutapika niliposikia Kikwete anamwambia Christiane Amanpour kwamba wanahitaji Waingereza na Wamarekani waje kutu train kulinda wanyamapori wetu.

Marekani haina mbuga, wao watakuaje na cha kuwa train nyinyi Waafrika jinsi ya kulinda tembo wenu, hamna aibu? Si ni bora mkachukue ushauri kwa wamasai wa mbugani huko? Unaweza kutapika aisee..



"Yenyewe kama yenyewe..."

Tutajuaje Kiingereza wakati Kiswahili chenyewe hatukijui bana?

"Yenyewe kama yenyewe..." Jesus Christ!
 
Mmerukia tena kwenye kiingereza?? Hata Putin au Hollande hawaingei kiingereza!! Hapa kazi tuu awamu hii lazima mjambiane tu, chezea ngosha ww?
 
Kama tatizo ni kiingereza ndicho kinaweza kuitangaza Tanzania katika sayari ya dunia Mimi kwangu nasema WATANZANIA tunaishiwa Na hekima.kiingereza ni lugha kama kihehe ama kikurya.nini kifanyike kuitangaza nchi yetu Mali za asili zilindwe Na kutunzwa,tamaduni Na mila za KILA jamii ziendelezwe,wanamichezo Wetu waandaliwe kwa kadri ya uwezo Wa juu NDIO nchi yetu ipate sifa nje.
Kiingereza ni lugha kama kihehe au kikurya? Huenda hujui maana na thamani ya Lugha. Lugha ni power.
 
Hali ilikuwa ngumu sana jana ilibidi tuwe na translator
 
Kwameh we wawap? Marekan haina mbuga??? UnaijuaUSa we kaaa kweni chita kilombero .marekan INA kila KTU cha mana .usione wananunua mafuta .madn au wanatalii ukawachukuliaa wana akl za kpompi jamaa wako another sayar
 
Yaani badala ya kujivunia lugha yetu ya kiswahili wewe bado unawaza ukoloni tu, kweli kutawaliwa kubaya huacha athari katka ubongo wa aliyetawalia hata kama miaka elfu itapita athari haitaondoka

Naipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kuifanya rasmi kiswahili kuwa lugha rasmi kitaifa na kimataifa.

Pongeza pia kwa jumuiya ya afrika mashariki nayo kwa kukifanya kiswahili kuwa lugha ya jumuiya hiyo.
We unafikiri wanalipenda sana kiswahili?? Acha ujinga! Hawana namna ndo pekee wanachokijua atleast
 
Back
Top Bottom