sio wote mkali hata huyo mwanamke niliyeachana nae alikuwa na zigo na mm ndo napenda tatizo ndo hivyo sema sijajanunua na kimbaumbau nione sina hamu tena ya kununua naona nadhulumiwa kweupe
Kuna mwanamke kanivuruga kwenye mapenzi, nikawa sitaki mahusiano ebana mi hamu ikanibana nikanunua papuchi, heri pesa ningeporwa na vibaka nijue moja papuchi unapiga pushapu huhisi chochote halafu lilivyo jambazi eti linalia kimahaba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.